Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,198
- 3,572
Yaani mpka inafika hatua marehemu amefariki ndo unamuona mwanadada anajitokeza msibani akidai amezaa na marehemu wengine wanakuja na watoto msibani kutaka nao watoto kutambulika
Hivi siku zote Hawa wanawake wanakuwa wapi na nyinyi wanawake tabia za kuwaficha watoto baba zao mpka umauti unapata ndo mnajitokeza siku zote mnakuwa wapi ......
Nazungumza kwa sababu yametokea ndani ya ukoo wetu Kuna mwana Dada kajitokeza akidai Kazaa na ndugu yetu lakini upande wa pili mke na watoto wa ndoa umeleta Utata wamegoma kuwatambua huyu mdada yeye kwa Sasa anataka kwenda mahakamani kudai haki yake kwenye sehemu ya urithi upande wa ndugu wa marehemu hawajui wafanye nini maana marehemu hakuacha ujumbe kama alizaa njee
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hivi siku zote Hawa wanawake wanakuwa wapi na nyinyi wanawake tabia za kuwaficha watoto baba zao mpka umauti unapata ndo mnajitokeza siku zote mnakuwa wapi ......
Nazungumza kwa sababu yametokea ndani ya ukoo wetu Kuna mwana Dada kajitokeza akidai Kazaa na ndugu yetu lakini upande wa pili mke na watoto wa ndoa umeleta Utata wamegoma kuwatambua huyu mdada yeye kwa Sasa anataka kwenda mahakamani kudai haki yake kwenye sehemu ya urithi upande wa ndugu wa marehemu hawajui wafanye nini maana marehemu hakuacha ujumbe kama alizaa njee
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app