Usiku mmoja konda alikua kalala, ghafla mdogo wake akaamka na kwenda chooni, alivyorudi ile anafunua neti tu..!, Konda akamzuia na kumwambia wanafunzi wanatosha......
Mkuu wa Kaya (mhaya) akitoa maelekezo kwa dada wa kazi kabla ya kuondoka nyumbani asubuhi ya leo:
.... mimi natoka watu wa sensa wakiulizia nimeenda wapi waambie nimeenda bank kuchukua milioni 30 kwa ajili ya ada za kaka zenu wawili wanaosoma PHD Uingereza, wakiuliza mu wangapi waambi tuko...
Kwa kiasi flani naamin CDM walikurupuka au kutokupata mwakilishi sahihi wa uVICE..
It's high time wajipange na mtu ambae atachukua nafasi hii kwn kwa kupata mtu sahihi na mwenye influence ina uwezo wa kuchangia katika ushindi wa 2015...!
Who do you think fits this position...?
Said Mtanda aibuka kidedea kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika hivi punde bungeni kuwania nafasi ya ujumbe katika bunge la Africa.
Said Mtanda kapata votes 142 viz a viz Hamisi Kigwangalla with 76 votes.
Source: Toka Bungeni Live
:alien: Inasikitisha sna Wabunge wa Upinzani kutoongelea swala nyeti na la msingi kma hli la NSSF...!
Sio bungeni sio mtaani wabunge wa upinzani hawajavalia njuga ishu hii na inanifanya nijiulize;
- Wapinzani wana maslahi gn na haya marekebisho ya NSSF ..?
Jamaa watatu walienda kuomba tenda ya kujenga uzio wa nyumba ya serikali,
MJENZI 1: Mimi naweza kujenga uzio kwa shilingi milioni 2, vifaa milioni,wajenzi laki tano na mimi nitapata faida laki tano.
MJENZI 2: Mimi nanaweza kujenga uzio huo kwa shilingi milioni tatu, vifaa milioni, wajenzi...
Awapongeza viongoz mbl mbl wa kitaifa kwa ushirikiano kipindi cha ajali na msiba...
1. Pongezi......Mwenyezi Mungu, CHADEMA, Jakaya Kikwete, Edward Lowasa, William Lukuvi, Anna Makinda, Agrey Mwandri, Reginald Mengi, Mizengo Pinda, James Mbatia, Augustion Mrema, Madaktari na watu wte kwa...
:eek2:Awapongeza viongoz mbl mbl wa kitaifa kwa ushirikiano kipindi cha ajali na msiba...
1. Pongezi......Mwenyezi Mungu, CHADEMA, Jakaya Kikwete, William Lukuvi, Anna Makinda, Agrey Mwandri, Reginald Mengi, Mizengo Pinda, James Mbatia, Augustion Mrema, Madaktari na watu wte kwa ujumla.
2...
Dah...! Natumia fursa hii kusema kwa sauti kubwa mchana huu kuwa napenda chama changu IMARA CHADEMA...!
Kwa wapenda madiliko hawatajuta ku support CHADEMA..........
hate t o lv t.......
nawakilisha
Mmasai mmoja kaenda mjini na kondoo wake, kufika mjini akaamua aende kanisani, kufika mlangoni akasita.. hku anatafakar kidogo padri akamshtua na mazungumzo yakawa hvi;
Padri: Masai upo salama? mbona umesimama mlangoni? Ingia ndani..
Masai: Mjinga kweli wewe unadhani sijui kwamba kuna simba...
Baba: Unamjua Anna Makinda mwanangu?
Mtoto: Hapana Baba
Baba: Pumbavu sana, kuwa makini na habari za kijamii haswa kufatilia Bunge
Mtoto: Baba unamjua Godfrey..?
Baba: Simjui
Mtoto: Na wewe pumbavu, kuwa makini na mama shauri yako
hpo vp?
Jamaa mmoja amwambia jirani yake hvi..!
Jamaa: Dah jirani leo siku ya tatu jicho linancheza cjui tatzo litakua nn..?
Jirani:Sijui tatzo la jicho kucheza ila siku yakicheza ****** niambie..!
Je unafkiri huyu jamaa anataka kumfanyaje?
Jamaa mmoja akiwa kwenye daladala tumbo likamjaa gesi akataka kujamba lkn akaogopa, baada ya kusikia kuna mziki akaamua kuachia vishuzi kulingana na bit ya mziki akijua hakuna anaesikia. Heh..! aliposhuka akashangaa kuona kila mtu anamwangalia kwa mshangao. Akashtuka..! Kumbe mziki aliokua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.