Ston Merchant
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 393
- 103
Mmasai mmoja kaenda mjini na kondoo wake, kufika mjini akaamua aende kanisani, kufika mlangoni akasita.. hku anatafakar kidogo padri akamshtua na mazungumzo yakawa hvi;
Padri: Masai upo salama? mbona umesimama mlangoni? Ingia ndani..
Masai: Mjinga kweli wewe unadhani sijui kwamba kuna simba wa yuda
Padri: Masai upo salama? mbona umesimama mlangoni? Ingia ndani..
Masai: Mjinga kweli wewe unadhani sijui kwamba kuna simba wa yuda