Ston Merchant
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 393
- 103
Awapongeza viongoz mbl mbl wa kitaifa kwa ushirikiano kipindi cha ajali na msiba...
1. Pongezi......Mwenyezi Mungu, CHADEMA, Jakaya Kikwete, Edward Lowasa, William Lukuvi, Anna Makinda, Agrey Mwandri, Reginald Mengi, Mizengo Pinda, James Mbatia, Augustion Mrema, Madaktari na watu wte kwa ujumla.
2. Bajeti: Asema bajeti ya wizara ya Nchimbi iongeze pesa idara ya polisi especially kwenye gharama za mafuta kwani alipopata ajali, gari la polisi liliisha mafuta walipofika kituoni hivyo kumlazimu dereva wa gari la polisi kutumia pesa zake binafsi kuongeza mafuta ili wawafikishe hospitali.
Source: Bunge Live.!
Nawakilisha..
1. Pongezi......Mwenyezi Mungu, CHADEMA, Jakaya Kikwete, Edward Lowasa, William Lukuvi, Anna Makinda, Agrey Mwandri, Reginald Mengi, Mizengo Pinda, James Mbatia, Augustion Mrema, Madaktari na watu wte kwa ujumla.
2. Bajeti: Asema bajeti ya wizara ya Nchimbi iongeze pesa idara ya polisi especially kwenye gharama za mafuta kwani alipopata ajali, gari la polisi liliisha mafuta walipofika kituoni hivyo kumlazimu dereva wa gari la polisi kutumia pesa zake binafsi kuongeza mafuta ili wawafikishe hospitali.
Source: Bunge Live.!
Nawakilisha..