Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilishindwa kutoa uamuzi juu ya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha kama ana kesi ya kujibu au la.
Hali hiyo ilitokana na Hakimu Mkazi wa Kisutu, Devotha Kisoka anayesikiliza kesi hiyo kutokuwepo na Hakimu...
Kichwa cha Habari chahusika.
Nikiweka simu sikioni kuongea hatakama ni kwa dakika 2 tu Kichwa kinauma sana na mpaka sikio linauma. Yapata wiki sasa tangu nianze kupata hili tatizo.
Zamani nlikuwa nikiongea kwa muda mrefu kama nusu saa ndio nasikia maumivu ya kichwa japo hayakuwa makali kama...
Na Naaswir Haamid
Nafsi ni kama mtoto mdogo,
haichoki wala hailali kutamani
mambo. Na kawaida ya nafsi ni
yenye kutamani maovu. Mfano
mdogo tu, ni namna
inavyopenda pumbazo za
kidunia kama vile pombe, zinaa,
ugomvi na kadhalika. Utaikutia
nafsi ipo nyepesi kuyaingia
mambo...
Habari za muda wadau?
Nina rafiki yangu ni muajiriwa serekalini.
Kapewa 10m na babake ili ajiimarishe kiuchumi.
Hajajua mpaka sasa afanye nini kwani kapewa kwa masharti kuwa afanyi biashara au chochote cha kuzalisha ila asije akaingiza kwenye mambo matumizi mengine kama pombe, wanawake nk...
The Vatican sends questionnaire on gay sex and contraception to Catholics around the world
38-question survey is available online in England and Wales
Pope Francis said Vatican needs to tone down its strict teachings on family
Feedback will help Vatican prepare for the Synod of Bishops
By...
Nipo njiani naelekea ukonga, hapa tazara nimepishana na ffu wakiwa na difender 3 na gari 2 za maji ya kuwasha wakielekea mjini.
Nadhani wanajiweka tayari kwa lolote leo.
Tuombee amani, mkutano ufanyike na kuisha salama.
SIFA ZA LOWASA
Katika histori ya tanzania,
hajatokea mwanasiasa mtoa rushwa kama lowasa.
Hajawahi kutokea mwanasiasa Aliyeonyesha tamaa kubwa ya urais kama lowasa.
Ametengeneza mtandao mpana wa wapambe ndani na nje ya chama chake kama lowasa.
Anatuhumiwa kugawa rushwa ndani ya...
Raisi kikwete kawaagiza mkuu wa mkoa wa dar na menaja wa tanrods mkoa wampe majibu ndani ya wiki moja ni wapi itajengwa stendi mpya baada ya ile ya ubungo kuhamishwa.
Amekataa wazo lao la kujenga stendi ya muda pale chuo kikuu (udsm) na kuwaambia huko ni kufuja fedha za serekali.
Jk alikuwa...
basi la kampuni ya gairo lilotoka dodoma kuelekea dar limepata ajali nyuma kidogo ya mto ruvu baada ya kufeli breki na kugonga basi lingine kisha kutoka nje ya barabara.
Namshukuru Mwenyezi Mungu hakuna aliyekufa isipokuwa dreva wa basi ndo alojeruhiwa vibaya sehemu za miguuni.
Mimi mwenyewe...
Welcome all of you to code2gether http://code2gether.eu5.org, forum designed to connect together CIVE students (alumni and current students) and others interested in IT so we can share our IT related issues and help each other through discussion.
Be free to use the forum by observing our...
Tunawashukuru sana TIGO kwa kudhamini blog hii ya JAMII FORUM ila tunaomba wajirekebishe kwani tumewachoka na huduma zao mpaka tunafikiria kuhama mtandao huu kama huduma zitaendelea kuwa duni na dhaifu hivyo
Haya ni mambo machache tu ambayo nayaorozesha hapa
Mosi, unampigia mtu simu unaambia...
Kwa uchunguzi nilio ufanya nimetthibitisha kuwa zinaa
inarithiwa. Ukiwa mzinifu kuna asilimia zaidi ya 90 kuwa na wanao watakuwa wazinifu. Jaribu kuchunguza mzinifu yoyote utakuta baba/mama yake au wote nao ni wazinifu au walikuwa wazinifu.tujiepusheni wandugu ili tuvinusuru vizazi vyetu kwani...
Majuzi nimeingia makao makuu ya tanesko kilimamnjaro nakakuta muziki wa injili unapigwa kwa sauti ya juu sana ofisini. Naomaba kujua sheria za kazi zinasemaje juu ya uhuru wa mfanyakazai anapokuwa ofisini na mipaka yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.