peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Raisi kikwete kawaagiza mkuu wa mkoa wa dar na menaja wa tanrods mkoa wampe majibu ndani ya wiki moja ni wapi itajengwa stendi mpya baada ya ile ya ubungo kuhamishwa.
Amekataa wazo lao la kujenga stendi ya muda pale chuo kikuu (udsm) na kuwaambia huko ni kufuja fedha za serekali.
Jk alikuwa anaweka jiwe la msingi ktk mradi wa mabasi yaendao kasi.
Amekataa wazo lao la kujenga stendi ya muda pale chuo kikuu (udsm) na kuwaambia huko ni kufuja fedha za serekali.
Jk alikuwa anaweka jiwe la msingi ktk mradi wa mabasi yaendao kasi.