Tanesco na muziki

peri

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
2,579
1,164
Majuzi nimeingia makao makuu ya tanesko kilimamnjaro nakakuta muziki wa injili unapigwa kwa sauti ya juu sana ofisini. Naomaba kujua sheria za kazi zinasemaje juu ya uhuru wa mfanyakazai anapokuwa ofisini na mipaka yake.
 
Siku hizi kila kitu ruksa! Kila ofisi siku hiz zina screen kuuubwa! Ni maamuzi tu na busara ya wahusika kupunguza sauti kutodisturb wengine
 
Back
Top Bottom