Kipengele cha kujua kusoma na kuandika kiondolewe. africa pekee ni tanzania tu ambayo ina qualification za hovyo kwenye ubunge, ndio maana tunapata watu wa ajabu
Lucas Mwashambwa hizi nchi zingine za jirani zetu, rwanda,uganda,kenya,malawi,zimabwe wao masharti yao yakoje mpaka wakawakubalia?
Masharti yapi hapa nyumbani ambayo starlink ilishindea kuyatekeleza?
Dunia nzima hakuna internet ya bure. Nchi tu yenyewe kuna gharama wanalipia kupata hizo services. Now kuhusu kitocho ni kweli ame approach vibaya, ni bora angeshusha bei ya smart phones iwe affordable kwa mwananchi wa kawaida
All this unaweza ku compile in one message. Hana interest na wewe, now it up to you uchague kuumia au uanze ku move on. Kumbuka maumiv unayasikia wewe si yeye
Mabadiliko hayakwepeki master, ndio watoto wa kipindi hiki wana kua haraka, imeletwa na mabadiliko ya mfumo wa maisha, vyakula. Vizazi always vinabadilika
Is not about gharama ila vipaombele wataki huo havikuwa upanuzi wa jiji, by then nchi iko kwenye post uhuru ndio inajitafuta sasa. what happen ni lack of vision, hawakurajia litakuwa jiji kuu kibiashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.