johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 86,230
- 146,653
Au Tatizo ni Elimu
Nilitegemea wawe serious wanapopata Fursa za Kuwahoji Viongozi wa Serikali lakini inakuwa Kinyume kabisa na zaidi utakuta wao ndio wanaulizwa maswali
Enzi za Adam Lusekelo au yule Mwamba Katabalo wanahabari waliheshimika sana
Mlale Unono 😀
Nilitegemea wawe serious wanapopata Fursa za Kuwahoji Viongozi wa Serikali lakini inakuwa Kinyume kabisa na zaidi utakuta wao ndio wanaulizwa maswali
Enzi za Adam Lusekelo au yule Mwamba Katabalo wanahabari waliheshimika sana
Mlale Unono 😀