Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,829
- 14,283
Kata huduma hiyo pesa bora upelekee watoto yatima au ukalewe na wanao wanaokukubali.Napenda sana ndugu zangu, ila tatizo lao Wana tabia za ajabu sana. Pamoja na kuwasaidia sana ila wao wanaomba kuona nimefirisika. Tena wanaenda kuroga kabisa