Meneja CoLtd
Member
- Mar 6, 2021
- 60
- 59
Sasa hivi kumekua na ongezeko kubwa la baadhi wa watu kuwatumia watoto wadogo kujipatia kipato kwa kuomba omba.
Wengi kati ya hao wanao ombaomba wanaonekana wanauhitaji wa chakula na fedha.
Lakini hili la kuwatumia watoto wadogo kuomba omba binafsi linaniuzi kwani naona kama ni udhalilishaji.
NB: SIKATAI WATU KUOMBA LAKINI HILI LA KUWATUMIA WATOTO WADOGO SIDHANI KAMA TUNAJENGA TAIFA.
Kama kunauwezekano mamlaka husika ingelitafutia ufumbuzi hili jambo.
Wengi kati ya hao wanao ombaomba wanaonekana wanauhitaji wa chakula na fedha.
Lakini hili la kuwatumia watoto wadogo kuomba omba binafsi linaniuzi kwani naona kama ni udhalilishaji.
NB: SIKATAI WATU KUOMBA LAKINI HILI LA KUWATUMIA WATOTO WADOGO SIDHANI KAMA TUNAJENGA TAIFA.
Kama kunauwezekano mamlaka husika ingelitafutia ufumbuzi hili jambo.