Joseph Musukuma: Wazungu wanatuwekea ushoga kwenye chanjo; haiwezekani binti wa miaka 10 avae sidiria

Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.

Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.


MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma: Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!
Kama utaamua kumjibu msukuma pasipo kutumia ubongo, bado jibu lako litatumika kutambua mtoa majibu ulivo
 
Kama watoto wa 1985/93 tulikuw
Asubuhi tunakula
Ugali wa jana na mahalage au kisamvi + chai
Ubwabwa maharage
Mkate mkavu pisi 2
Uji mkavu

Mchan
Ugali dagaa/maharage,mchicha(kunde kisamvu, nyama

Usiku ubwabwa na hizo mboga

Now days
Mtoto energy , soda chips junkies food kuku wa kisasa then hakun kaz anayofanya
 
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.

Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.

View attachment 2989832


MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma:
Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!
Tumeongea haya mambo kwa muda mrefu sana,na hakuna kinachofanyika.Msukuma is right 💯%.Ipo hujuma kwa nchi yetu.

Tulishasema wafanye utafiti tujue athari za chanjo nothing;Madawa ya hospitalini, nothing;Pesticides, nothing;Madawa ya uzazi wa mpango,nothing;mbolea za chumvi chumvi,nothing;on the shelf foods,nothing;the list is endless.

Naamini kwamba zipo hela nyingi zinazotembea ili kutofanya utafiti wakwetu na kupata ukweli wa athari za vitu tunavyoyumia,ili Watanzania tuendelee kuathirika.

Na Watanzania walivyo wajinga huku ikiwa wazi kwamba there is something to hide, wanafakamia tu mavitu ambayo hata hawaelewi usalama wake.In short it is business as usual,very sad indeed.
 
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.

Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.

View attachment 2989832


MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma:
Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!
What's the justification? Any claim must be justified, otherwise it's just speculation which is common where emotions take over rational reasoning/thinking intelligence.
 
What's the justification? Any claim must be justified, otherwise it's just speculation which is common where emotions take over rational reasoning/thinking intelligence.
According to Msukuma, this is not a claim but a research finding. If you listen to him well, you can obviously hear him asserting he did a research in schools and analysed the results before releasing the results before the parliament. Prove him wrong or right by conducting another research of the like.
 
Wakati akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Afya bungeni Dodoma, Dr Msukuma ameshangaa mabinti wa miaka 10 tu kuwa na maziwa yaliyotutumuka kiasi cha kuhitaji kuvaa sidiria.

Amedai utafiti huo ameufanya huko mashuleni na kuwaomba wabunge wengine nao waende wakafanye ili kujiridhisha. Sitaki kuwapotezea muda na maneno mengi, hebu msikilize nyinyi wenyewe.

View attachment 2989832


MAONI YANGU
Namuunga mkono daktari Msukuma kwa asilimia zote. Siku hizi ukikutana na binti wa miaka 10 njiani ukimuangalia kifuani hadi unaogopa na kuona aibu. Na sio mabinti tu, hata wanaume nao wana chuchu kubwa mithiri ya wanawake

Kuna uwezekano mkubwa wazungu wanatuwekea homoni za ushoga kwenye chanjo. Hili suala liangaliwe kwa undani kwani sio mara ya kwanza kusikia ushuhuda huu hapa nchini. Tusibeze wala kudharau kwani mdharau mwiba mguu huota tende. Waziri Ummy Mwalimu tunakuomba uzifanyie utafiti hizi chanjo za bure za wazungu zisije zikatuletea shida hapo baadaye.

Pia soma:
Shekhe aipinga vikali chanjo ya malaria mbele ya Waziri wa Afya, kisa ushoga; hamuogopi mtu yeyote!
Misada ya bure itawaponza Mtamkumbuka Rais Magufuli Mungu aiweke mahali pema Roho yake.

 
According to Msukuma, this is not a claim but a research finding. If you listen to him well, you can obviously hear him asserting he did a research in schools and analysed the results before releasing the results before the parliament. Prove him wrong or right by conducting another research of the like.
Research? Huyu la saba hiyo sampling aliiandaaje? Je analysis tools gani alitumia au data alikusanya vipi? Haya mambo ya kutumia assumptions ndio yanatumaliza waafrika. Mara albino hawazikwagi, sijui kitovu kikigusa uume unakua hanithi, sijui ukiwa period miti inanyauka!! Ukiuliza mtu scientific evidence anakua mkali!!

Tuache kuendeshwa na hisia, hakuna connection yoyote kati ya lishe/chanjo na ushoga. Labda malezi na genetics ila sio chanjo!!
 
Inabidi mheshimiwa mbunge dokta msukuma afanye na utafiti kuhusu uotaji wa ndezu maana ukienda shule ya msingi unakuta watu washaanza kunyoa ndevu.

Ama mi ndio ni kawaida na lenyewe.
 
Mijini ndio wamezidi sana.

Miaka 10 anayosema Musukuma ni mingi sana, miaka 8 tu mtoto saa 8, sijui ni haya mavyakula ukiachana na hoja ya Musukuma.

Vijijini angalau unaweza kukuta mtoto wa zaidi ya miaka 10 bado hana maziwa, ila mjini rare.

Upande wa vitoto vya kiume navyo vinapevuka mapema, miaka 12 katoto tayari..

Enzi zetu ilikuwa kawaida mtoto wa kiume kuvuka 15 akiwa hajapevuka...
Mabadiliko hayakwepeki master, ndio watoto wa kipindi hiki wana kua haraka, imeletwa na mabadiliko ya mfumo wa maisha, vyakula. Vizazi always vinabadilika
 
Research? Huyu la saba hiyo sampling aliiandaaje? Je analysis tools gani alitumia au data alikusanya vipi? Haya mambo ya kutumia assumptions ndio yanatumaliza waafrika. Mara albino hawazikwagi, sijui kitovu kikigusa uume unakua hanithi, sijui ukiwa period miti inanyauka!! Ukiuliza mtu scientific evidence anakua mkali!!

Tuache kuendeshwa na hisia, hakuna connection yoyote kati ya lishe/chanjo na ushoga. Labda malezi na genetics ila sio chanjo!!
Yaani Dr Msukuma (PhD) anshindwaje kufanya research mkuu?
 
Back
Top Bottom