Ni kipi kati ya matukio haya kingekuumiza zaidi?

Don't beg for someone attention, usifosi hayo ni kawaida tu. Siku hizi naenda na haya mawili bila kujali una status gani kwangu uwe ndugu, mpenzi, rafiki n.k
1. Siongezi simu juu ya simu ambayo haina response.
2. Siongezi ujumbe chini ya ujumbe ambao haujajibiwa.

Na wengi wanaofanya hivi ndio baada ya muda wananitafuta wakilalama kuwa nimewakalia kimya. Let things flow automatically, ukihitajika utaitwa.
 
1. Ameona na kusoma messages zako ila hajajibu na yupo online (Bluetick)

2. Unamuona online ila hawezi hata kukutext, yaani mpaka wewe mwenyewe uanze kumtext

3. Mlipokuwa mnaongea kwenye simu alikwambia ukate siku kidogo atakupigia badae muongee.Cha ajabu leo siku ya tatu yupo kimya tu hajakutafuta.

4. Yupo online, umemtumia message ila hajaisoma (hapa Kuna uwezekano ameona message yako ila amekataa kuifungua).

5. Amekuwishia good night saa mbili, Lakini saa nne usiku utamuona online.

Hivi unadhani kwa hayo matano hapo juu ni kipi kinachoumiza zaidi?
All this unaweza ku compile in one message. Hana interest na wewe, now it up to you uchague kuumia au uanze ku move on. Kumbuka maumiv unayasikia wewe si yeye
 
Hiyo namba 3 iongezee isomeke kwamba

Amekwambia ukate simu mara mojaz after 20 minutes kila ukipiga namba inatumika kwa takribani masaa kadhaa.

Baadae unapiga simu haipokelewi.
 
1. Ameona na kusoma messages zako ila hajajibu na yupo online (Bluetick)

2. Unamuona online ila hawezi hata kukutext, yaani mpaka wewe mwenyewe uanze kumtext

3. Mlipokuwa mnaongea kwenye simu alikwambia ukate siku kidogo atakupigia badae muongee.Cha ajabu leo siku ya tatu yupo kimya tu hajakutafuta.

4. Yupo online, umemtumia message ila hajaisoma (hapa Kuna uwezekano ameona message yako ila amekataa kuifungua).

5. Amekuwishia good night saa mbili, Lakini saa nne usiku utamuona online.

Hivi unadhani kwa hayo matano hapo juu ni kipi kinachoumiza zaidi?
Hayo mambo yanawaumiza watoto wa under 30 ambao bado hawajielewi vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom