Serikali waliweka masharti magumu ya kipuuzi yasiyotekelezeka ndio maana Starlink wakaamua kwenda Rwanda na kukubaliwa kufanya shughuli zao huko.Ndugu zangu Watanzania,
Nape Nauye waziri wa Habari na Mawasiliano amesema ya kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali walikwama wenyewe kutimiza mashariti yaliyohitajika kukamilishwanl ili kupewa lesseni.
Kauli hii imekuja kutokana na manung'uniko na kelele nyingi sana za watanzania mbalimbali mitandaoni kuilaumu serikali hususani waziri mwenye dhamana wakati huu ambao mtandao wa internet umesumbua sana na kukwamisha shughuli nyingi sana katika maofisi mbalimbali ya watu binafsi pamoja na serikali yenyewe.
Ambapo watu mbalimbali na wadau mbalimbali wa habari na mawasiliano wameonekana kutoa maoni yao mitaani na mitandaoni kuwa pengine kama Starlink angekuwepo hapa nchini ,suala lililokuwa limejitokeza hapa nchini la kukatika kabisa kwa huduma ya internet pengine lisingeathiri shughuli za watu binafsi pamoja na serikali yenyewe kama ilivyotokea.
Naweka kalamu chini na kuishia hapa. Chanzo cha taarifa yangu Ni clouds. Ukitaka kwa undani sana ingia clouds ujionee video yake kama una Mb au bando la kutosha kiasi.kama huna mb za kutosha basi wewe chukua hii taarifa kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali wao ndio walikwama wenyewe kutimiza mashariti ya kupatiwa lesseni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndugu zangu Watanzania,
Nape Nauye waziri wa Habari na Mawasiliano amesema ya kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali walikwama wenyewe kutimiza mashariti yaliyohitajika kukamilishwanl ili kupewa lesseni.
Kauli hii imekuja kutokana na manung'uniko na kelele nyingi sana za watanzania mbalimbali mitandaoni kuilaumu serikali hususani waziri mwenye dhamana wakati huu ambao mtandao wa internet umesumbua sana na kukwamisha shughuli nyingi sana katika maofisi mbalimbali ya watu binafsi pamoja na serikali yenyewe.
Ambapo watu mbalimbali na wadau mbalimbali wa habari na mawasiliano wameonekana kutoa maoni yao mitaani na mitandaoni kuwa pengine kama Starlink angekuwepo hapa nchini ,suala lililokuwa limejitokeza hapa nchini la kukatika kabisa kwa huduma ya internet pengine lisingeathiri shughuli za watu binafsi pamoja na serikali yenyewe kama ilivyotokea.
Naweka kalamu chini na kuishia hapa. Chanzo cha taarifa yangu Ni clouds. Ukitaka kwa undani sana ingia clouds ujionee video yake kama una Mb au bando la kutosha kiasi.kama huna mb za kutosha basi wewe chukua hii taarifa kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali wao ndio walikwama wenyewe kutimiza mashariti ya kupatiwa lesseni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Fvck off ! bytchNdugu zangu Watanzania,
Nape Nauye waziri wa Habari na Mawasiliano amesema ya kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali walikwama wenyewe kutimiza mashariti yaliyohitajika kukamilishwanl ili kupewa lesseni.
Kauli hii imekuja kutokana na manung'uniko na kelele nyingi sana za watanzania mbalimbali mitandaoni kuilaumu serikali hususani waziri mwenye dhamana wakati huu ambao mtandao wa internet umesumbua sana na kukwamisha shughuli nyingi sana katika maofisi mbalimbali ya watu binafsi pamoja na serikali yenyewe.
Ambapo watu mbalimbali na wadau mbalimbali wa habari na mawasiliano wameonekana kutoa maoni yao mitaani na mitandaoni kuwa pengine kama Starlink angekuwepo hapa nchini ,suala lililokuwa limejitokeza hapa nchini la kukatika kabisa kwa huduma ya internet pengine lisingeathiri shughuli za watu binafsi pamoja na serikali yenyewe kama ilivyotokea.
Naweka kalamu chini na kuishia hapa. Chanzo cha taarifa yangu Ni clouds. Ukitaka kwa undani sana ingia clouds ujionee video yake kama una Mb au bando la kutosha kiasi.kama huna mb za kutosha basi wewe chukua hii taarifa kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali wao ndio walikwama wenyewe kutimiza mashariti ya kupatiwa lesseni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani wewe hupo Twitter ili umuulize au lugha tatizo namna ya kumuuliza😃😃Kama kuna mtu humu yuko X tafadhali naomba umuulize elon sababu ya kushindwa Tanzania halafu ulete majibu hapa ya elon tujue hawa makijani wahuni sana
Serikali waliweka masharti magumu ya kipuuzi yasiyotekelezeka ndio maana Starlink wakaamua kwenda Rwanda na kukubaliwa kufanya shughuli zao huko.
Hii serikali ya kipumbavu inayoongozwa na kibaraka wa waarabu ndiyo iliyotufikisha hapa. Sijawahi kuona serikali ya kihanithi kama hii.
Weka hapa jukwaani hayo masharti magumu unayoyasema kuwa serikali iliweka.Serikali waliweka masharti magumu ya kipuuzi yasiyotekelezeka ndio maana Starlink wakaamua kwenda Rwanda na kukubaliwa kufanya shughuli zao huko.
Hii serikali ya kipumbavu inayoongozwa na kibaraka wa waarabu ndiyo iliyotufikisha hapa. Sijawahi kuona serikali ya kihanithi kama hii.
Nape amesema Wameshindwa masharti Kwa mujibu wa vigezo vya TRA.
Walioshindwa ndio waseme sio kazi ya Maofisa wa Serikali kuwasemea.Huo ujinga wa kusema madalali mfanye nyie Chadema
Ilaaaa,kwani hao starlink nao kamwe hawawezi kupata matatizo ya kiufundi?
Asipo kuelewa itakuwa ana hitilafu kwenye ubongoLucas, wewe ni mchanga kwenye masuala ya uwekezaji wa kimataifa. Tuliofanya kazi kwenye taasisi za kimataifa za kibiashara, yabidi tukupe shule.
Unapotaka kwenda kuwekeza kwenye nchi yoyote, hukurupuki tu na kusema naenda kuwekeza.
Kwanza unaenda kwenye company selection criteria ranking. Hii inaonesha hiyo nchi ina-rank vipi katika vigezo vya kampuni. Hiyo ranking, inatengenezwa kwa kuitazama kila nchi kuhusiana na sheria na kanuni za uwekezaji katika hiyo nchi kwenye sekta husika. Nchi inavyozingatia utawala wa sheria, ubora wa mahakama zake, uanachama wake kwenye taasisi za kimataifa zinazosimamia biashara, uwezo wa wananchi wake katika kununua products zako, mikataba ya hiyo nchi na nchi nyingine katika biashara, sheria za kodi, miundombinu, corruption, government stability, n.k. Lakini pamoja na kuwa na taarifa hizi kuhusu nchi unayotaka kwenda kuwekeza, huu ni muongozo tu wa kukusaidia mahali pa kuanzia.
Unapokuwa umeamua kuwa unataka kwenda nchi fulani, mara nyingi unai-contract an independent firm, mara nyingi ni local firm, kufanya due diligence ya kila kitu kilichopo kwenye criteria ranking. Ukijiridhisha na hayo, ndipo unakuja kwa nia ya kukutana na wasimamizi wakuu wa sekta na kuwaeleza dhamira na maamuzi yako ya kutaka kuwekeza katika nchi husika. Na kama kuna kitu ambacho wakati wa due diligence kilionekana kuwa bado kuwa na mashaka, sasa unaweza kuomba ufafanuzi moja kwa moja kwa serikali husika.
Hivyo Starlink kabla ya kuja Tanzania, lazima sheria na taratibu zote za jumla zinazoongoza sekta watakuwa walizipitia na kuridhika nazo. Bila shaka walikwama kwenye level ya kukutana na wasimamizi wakuu wa sekta. Ndiyo maana ni muhimu sana kufahamu wakuu wa sekta waliwaambia nini Starlink ambacho hakipo public, kiasi cha wao kuona nchi yetu haifai wao kuwekeza. Hatutakiwi kupokea tu hadithi za Nape, eti tu walishindwa masharti. Ni kauli ambayo ni very unprofessional.
Kwamba Kuna watu wanaamini anachoongea Nape na Serekali?Ndugu zangu Watanzania,
Nape Nauye waziri wa Habari na Mawasiliano amesema ya kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali walikwama wenyewe kutimiza mashariti yaliyohitajika kukamilishwanl ili kupewa lesseni.
Kauli hii imekuja kutokana na manung'uniko na kelele nyingi sana za watanzania mbalimbali mitandaoni kuilaumu serikali hususani waziri mwenye dhamana wakati huu ambao mtandao wa internet umesumbua sana na kukwamisha shughuli nyingi sana katika maofisi mbalimbali ya watu binafsi pamoja na serikali yenyewe.
Ambapo watu mbalimbali na wadau mbalimbali wa habari na mawasiliano wameonekana kutoa maoni yao mitaani na mitandaoni kuwa pengine kama Starlink angekuwepo hapa nchini ,suala lililokuwa limejitokeza hapa nchini la kukatika kabisa kwa huduma ya internet pengine lisingeathiri shughuli za watu binafsi pamoja na serikali yenyewe kama ilivyotokea.
Naweka kalamu chini na kuishia hapa. Chanzo cha taarifa yangu Ni clouds. Ukitaka kwa undani sana ingia clouds ujionee video yake kama una Mb au bando la kutosha kiasi.kama huna mb za kutosha basi wewe chukua hii taarifa kuwa serikali haikuwakatalia Starlink kufanya kazi Nchini bali wao ndio walikwama wenyewe kutimiza mashariti ya kupatiwa lesseni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hiyo zinabaki kuwa ni porojo tu za adui ujinga wa Mtanzania.Mheshimiwa waziri hajayasema hayo masharti ambayo Starlink walishindwa kuyatimiza kwa ajili ya kupewa lesseni ya kufanya kazi hapa nchini.
Bashite alishawatajaNani kakwambia nalipwa kwa ajili ya kuandika hapa jukwaani.
Kiongozi kwani unauhakika sio nape mwenyewe huyu?Kwahiyo amekutuma kuja kufanya Demage Control?!
Bashite ndio naniBashite alishawataja
Kila nchi ina taratibu zake katika masuala mbalimbali.Lucas Mwashambwa hizi nchi zingine za jirani zetu, rwanda,uganda,kenya,malawi,zimabwe wao masharti yao yakoje mpaka wakawakubalia?
Masharti yapi hapa nyumbani ambayo starlink ilishindea kuyatekeleza?
Bwana yako anayekufiragaBashite ndio nani