Hivi karibuni Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2017-2018 imepitishwa na Bunge. Kilichomo kwenye Bajeti ni kuwa Mtanzania maskini atatozwa kodi ya barabara ya umiliki wa gari na pikipiki hata kama hana vyombo hivyo.
Sababu ni kwamba Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango, imeamua...
Nataraji kuona malalamiko mengi sana, ya wanajeshi kuua hata wasiohusika, hii ilikua inahitaji akili na sio nguvu, hapa ndio tunagundua TISS hawayawezi majukumu yao
Ndugu yangu waza kiupana, kwa nini huo uchumi usirudi moja kwa moja kwa waislamu dunia nzima kuwastawisha ili hata ambao ni masikini kufaidika na kuweza kwenda hijjah
Kwa hio unaweza enda sali msikiti wanaochinja nguruwe kwa sababu hairuhusiwi kugomea ibada, ninachoamini unabadilisha msikiti au unasalia sehem ambayo ni salama zaidi hijjah haina mbadala hivyo lazima watu waungane ipo siku marekani atatengeneza kambi ya jeshi madina na makkah na itakua too late
Samahani kwa nitakaowakera ila naongea kwa kujenga, leo tumeona saudia akizuia raia wa qatar kuhudhuria hijjah kwa kigezo cha msuguano kati ya mataifa yao, je siku akitokea mfalme akasema hijjah sio halali nani atamzuia na kisheria atakua na haki zote kwani makkah na madina ni mali ya saudia...
"wamekua wakiwekeza nguvu na mali kwenye biashara ambazo ni za kipekee na ambazo zinakua kwa haraka barani Afrika na duniani" Huyu mke wa mengi kapachikwa tu, furniture haina hio sifa... Hii listi ina walakini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.