Saudi Arabia: Mahujaji kutoka Qatar wazuiwa kuingia nchini humo kwaajili ya kuhiji Mecca

Tatizo liko kwenye msingi Wa mafundisho msingi(dogma). Ni kama nyumba ukisha-set msingi Wa hovyo unashangaa nini kuona huko juu kwenye kuta na paa pamepinda pinda? Juzi hapa watu walishangilia kule Zanzibar, SMZ kuwa "nyapara" Wa "protokali" za Ramadan.Sasa leo munalaumu nini Serikali ya Saudia kuwapiga ban Qataris kuingia kwao? Hao Wa-qatar ni makafiri tu na Kafir anaruhusiwa vipi kuingia Mecca?
Sio kweli mkuu msingi wa dini uko imara sana ila siasa zinaharibu .utashangaa nikikwambia hivi sasa sio msimu wa hija sasa wataendaje kuhiji wakati sio muda wake wa hija.muda wa hija ni baada ya sikukuu ya idi hadi siku 10 za mfungo tatu sasa hivi muda bado
 
Acheni kutuongopea muda wa kuhiji bado muda wa hija ni kuanzia mfungo Mosi hadi siku 10 za mfungo tatu sasa hivi ni Ramadhan
 
Mm naamin Mungu yupo popote. Cjawah kwenda Israel ama Vatican City kuhiji lkn bado naamin Mungu hapa hapa Tz yupo sana. Sana sana kama mwanadamu akifanikiwa kwenda maeneo wanayoita matakatifu na kama hajabadilisha matenda yake, akawa bado anamkosea Mungu, huko ni kama mtu aliyeenda kutalii.
 
Halafu nina wasi wasi na hii habari mimi nilisikia kwenye habari channel ya Saudi Arabia 2 siku ile ile waliotangaza msimamo wa kuiekea vikwazo Qatar kwamba mahujaji wa Qatar hawatazuiwa kwenda kutekeleza ibada hiyo sasa napata wasi wasi kidogo
 
Kama yanavyotokea Vatican. Mkuu wa nchi ni papa. Mkuu wa kanisa ni papa. Raia wa nchi hiyo ni makadinali
Unamaanisha Mfalme wa Saudia ndiye pia mkuu wa dini ya kiislamu au? Mbona basi baadhi yenu (akina Iran na wengineo) hawakubaliani na utawala wa Saudia kwa hayo wayafanyayo tofauti na Catholics ambao maagizo ya Papa hayajawahi kukataliwa au kupingwa na waumini? Don't you see the difference?
 
Fighting for superiority. Saudi Arabia are trying to expand her influence in Arabic Contries block. Political differences between Saudi Arabia and her archival Iran have now escalated to religious sects.
Saudi Arabia the favoured by USA now is expanding her tentacles to neighbors and whoever sort alliance with Iran is labelled as a enemy of the prosperity of the welfare of Arabic Countries especially the Sunn sect.
It is not surprising to see what is transpiring because at a point of time Iran questioned the moral purity of Saudi Arabia to continue harbouring the Moslem most Holy places.
But real it is a turning point since never before these happened. It is believed a pilgrimage to Mecca is one of pillars of Islamic and is a Sharia law from Allah. Who is now greater from Allah to prevent one observing or fulfilling the command?!
That's for sure is still a big question...Saudii administration continues to destroy the Muslims bond
 
خهل مركب Umeshindwa kuwatabiria watu waovu ambao unawapenda kwa baatwil huo moto eti unawatabiria watawala halali wa Saudi Arabia kwamba kuna moto unawangoja!!!
watawala halali wa saudia? uhalali upi waliokuwa nao? Mapenzi yako kwa uwahabi yatakuangamiza. Unaujua utawala wa saudi au unausikia?
 
watawala halali wa saudia? uhalali upi waliokuwa nao? Mapenzi yako kwa uwahabi yatakuangamiza. Unaujua utawala wa saudi au unausikia?
Hili nalo ni swali gumu huenda kuliko maswali yote kuhusu Saudi Arabia
 
Hili nalo ni swali gumu huenda kuliko maswali yote kuhusu Saudi Arabia
Naamini hata Asili ya Saudia Arabia atakuwa haijui ndio maana anawaona ni halali. Nitamporomoshea data hapa kisha ndio ajue kama hao watawala ni haramu, na makazi yao MOTONI. Wapingaji namba moja wa Quran! aje anioneshe uhalali wa kurule na kuwa custodian wa holy Mosques.
 
Hii tayari ishakuwa tatizo.. Yaani Waarabu tunagonganishwa vichwa kirahisi namna hii, kutaka kumfurahisha Amerika na washirika wake?

Kuna tatizo mahala, si kawaida hii
Hivi marekani kawakosea nn?maana mmezidi sasa.
 
Samahani kwa nitakaowakera ila naongea kwa kujenga, leo tumeona saudia akizuia raia wa qatar kuhudhuria hijjah kwa kigezo cha msuguano kati ya mataifa yao, je siku akitokea mfalme akasema hijjah sio halali nani atamzuia na kisheria atakua na haki zote kwani makkah na madina ni mali ya saudia, sasa ni wakati muafaka kwa waislamu wote dunia nzima kupaza sauti na kugomea hijjah mpaka pale makkah na madina zitakapokua sehemu huru isiochangamana na misingi ya kisiasa na kiserikali yoyote ile, liwe eneo huru kama ilivyo Vatican liendeshwe kwa misingi ya dini na sio siasa.
Najua akili ndogo hawajaliona hili ila ipo siku hijjah itakua stori tukikubali hiki kinachoendelea....
 
Mimi sisemi wagomee ibada, ila waislam dunia nzima waungane, waitake Saudia arabia iache kujinasibisha na umiliki wa misikiti hio mitakatifu. Wakati wa Mtume s.a.w hakukuwa na kizuizi kwa mtu kwenda kuhiji kisa anatoka taifa fulani
 
Naunga mkono hoja.kuna haja ya Muslim world council kuanza kufikiria eneo la msikiti wa mtume madinah na grand mosque Mecca kuwa huru. Mfalme wa Saudi Arabia asiwe ndio custodian.
Yaani nchi yao wenyewe halafu muwapangie kitu cha kufanya? Wakiamua kupitisha caterpillar kubomoa nani atawazuia? Labda useme waislamu wengine waungane kuanzisha ka mji katatifu kengine hata huko Qatar au Iran wakaabudie... Inakoelekea Saud Arabia wakizinguliwa wanaweza kupiga barn waislam wote kukanyaga huko
 
Samahani kwa nitakaowakera ila naongea kwa kujenga, leo tumeona saudia akizuia raia wa qatar kuhudhuria hijjah kwa kigezo cha msuguano kati ya mataifa yao, je siku akitokea mfalme akasema hijjah sio halali nani atamzuia na kisheria atakua na haki zote kwani makkah na madina ni mali ya saudia, sasa ni wakati muafaka kwa waislamu wote dunia nzima kupaza sauti na kugomea hijjah mpaka pale makkah na madina zitakapokua sehemu huru isiochangamana na misingi ya kisiasa na kiserikali yoyote ile, liwe eneo huru kama ilivyo Vatican liendeshwe kwa misingi ya dini na sio siasa.
Najua akili ndogo hawajaliona hili ila ipo siku hijjah itakua stori tukikubali hiki kinachoendelea....
Najua huwezi kunielewa, namuomba Mungu akueleweshe ujumbe huu:-

Kajitwalie viheka viwili au vitatu uvimiliki.
Miaka michache ijayo waarabu wanakuja kuomba vibarua vya kulima ili wapate kibaba cha chakula.

Msingi wa ushauri wangu umejengwa kwenye platform ya transportation firm.
i.e TESLA EV manufacturing.
 
Back
Top Bottom