Nakerwa na watu wachache wanaomsuport North korea

Mtu mzima na akili zako unaombea na unadhani north korea anauwezo wa kumpiga us?

Alafu vijana wa jf sasa tunavyopenda ngono sasa mchana tunamshabikia North korea alafu usiku tukiugua gonjwa lile tunakimbilia kwa US atupe ARV za bure

Umelalia neti ya msaada hapo hadi dawa za Tb Huyo huyo Us unataka akupe bure

Misaada huyohuyo US

Alafu mnapayuka tu .

Hebu tuache unafiki basi

Mjapani huwa anatupiga tafu sana hapa tz kwenye maswala ya miundombinu hata misaada wapo mstari wa mbele

South korea nae pia anatupiga tafu sana kwenye maendeleo na kuna wengine hapa ni mashahidi mmesomea kwenye madarasa yalee ya koica walijenga karibia nnchi nzima
akili za kibashite,je iyo misaada marekani anatupa bure? " ukitaka kula lazma uliwe,we unataka kula tu " akili yakobovu wewe mtoa mada yani izo net zako unafananisha na dhamani ya wanyama pori na madini yanayokwapuliwa? mbuzi kabisa wewe
 
Hata mimi nashangaa. N. Korea anaandaa silaha kila kukicha huku watu wake wanahangaika. Kila siku vitisho vya silaha kwa Marekani. Anajivunia nini? Na Wtz tunamchekea
Walikuja kwako kuomba? Sisi hatuandai silaha na tunakula vuwavi jeshi. Wapi bora wao au sisi?
 
Mtu anaeishabikia Korea haijui vizuri ...ile nchi kwa kukandamiza haki za binadamu hata magaidi wakasome...kwa wakristo lile ndio taifa hatari zaidi kuwa mkristo na in fact sio mkristo tu hata muislam in short hutakiwi kuabudu kingine chochote tofauti na kale kajamaa na wazazi wake
Soma stories za defectors utachokaaa na sio western propaganda kama wengi tulivyo karirishwa
Yaani mtu akifungwa anafungwa yeye pamoja na vizazi vyake vitatu....kuna mengi sana kuhusu huo uongozi unahitaji Uzi wake kabisa
haki za binadamu unazijua wewe? mbona tz mnateka hapa kijinga jinga hupigi kelele tupigwa na sisi kwa kuwa tunakandmiza haki za binadamu na demokrasia nchini wewe naww mbuziii tu,hao wa marekani juzi tu kwenye kampeni mlishaoneshwa wazi manabaguliwa na huyo rais bado mnakuwa ma mbuzi tu ivi unazijua haki za binadamu wewe? mbuzi tu na wewe
 
Mtu mzima na akili zako unaombea na unadhani north korea anauwezo wa kumpiga us?

Alafu vijana wa jf sasa tunavyopenda ngono sasa mchana tunamshabikia North korea alafu usiku tukiugua gonjwa lile tunakimbilia kwa US atupe ARV za bure

Umelalia neti ya msaada hapo hadi dawa za Tb Huyo huyo Us unataka akupe bure

Misaada huyohuyo US

Alafu mnapayuka tu .

Hebu tuache unafiki basi

Mjapani huwa anatupiga tafu sana hapa tz kwenye maswala ya miundombinu hata misaada wapo mstari wa mbele

South korea nae pia anatupiga tafu sana kwenye maendeleo na kuna wengine hapa ni mashahidi mmesomea kwenye madarasa yalee ya koica walijenga karibia nnchi nzima
Acha upimbi ukiendekeza kupokea vijizawadi au misaada utaolewa ka Dada zako
 
Yaani unataka tuipende USA kwa sababu ya misaada? Mi naikubali sana NKorea maana wao hawapati misaada kama sisi na wana vikwazo vya kibiashara lakini bado wana nguvu ya kijeshi ya kuitikisa USA. Wanaproduct nyingi sana wanazotengeneza wenyewe tofauti na sio wapenda misaada ambao tunategemea toothpick kutoka China.

Watoto wa taifa hili, jifunzen historia ya nchi yenu. Ishu ingekuwa misaada basi tusingepinga ubaguzi wa rangi huko SA wala tusingeongoza harakati za ukombozi wa Afrika. Tusingevunja uhusiano wa kibalozi na Israel wala UK (kuhusiana na Ian Smith).

Hivyo vimisaada ndivyo vinatuweka kwenye vicious cycle of poverty. Misaada ya Japan ni PR tu, angalia serikali inamiliki VX ngapi na inanunua ngapi kwa mwaka? Kuhusu misaada ya USA, angalia nani anachimba Uranium na nani yuko kwenye gesi na madini. Kuhusu SKorea, angalia electronic products zilizo madukani mwetu (e.g. Sumsang). Kijana wa leo kuwa na akili ya misaada ni kilio na simanzi kwa taifa hili, hamna tofauti na Mangungo wa Msovero wala babu zetu waliopewa shanga halafu wao wakatoa dhahabu na pembe za ndovu. Don't look at the trees young man, look at the forest!

Pia mtu anayeidharau Nkorea ni zuzuta. Hawa wazungu hawakuchukua sekunde kuamua kumpiga Gaddaffi kwa sababu walijua wameshamdhoofisha kijeshi kupitia makubaliano aliyoingia nao. Kwa Kim lazima watulize akili sababu wataiteketeza Nkorea, lakini na wao wataumia. Narudia kusema hao jamaa mnaowaabudu waliwahi kupigwa na Vietnam miaka ya 60-70. Ukiingia vitani hata na Malawi, lazima na wewe itakula kwako hata kama utashinda maana unatumia pesa, lakini pia utapoteza askari na miundombinu.
 
Yah mkuu naona tumeelewana ila walio wengi wataleta hoja za udini na mihemko binafsi ila DPRK sio wakumchekelea tena that regime is very fragile and conundrum
Kim anatakiwa aongeze speed yakutengeneza zile submarine, awe nazo kama 15000 hivi, halafu ziwe na makombora kila moja kama 500. Kati ya hizo 15000, 10000 zite ziwe karibu ya usa kabisa maanake nikwamba zikiachia makombora 500 x 10000 = 5,000,000. Asiwe na haja yakutengeneza zile meli zakubeba madege hapana yeye akazanie submarine ambazo zikifyatua hakuna cha defence system wala ushuzi sa trump utakao zuia mabomu ya nyuklia milioni 5,

Hapo hakibaki chochote, hata kama n.k itafutika na wao wakirudi na mimeli yao wanakuta moto unawaka kila pembe.

Go north
 
Ndiyo maana sie wengine wazalendo tunashabikia Al shabab na Boko haram.
 
haki za binadamu unazijua wewe? mbona tz mnateka hapa kijinga jinga hupigi kelele tupigwa na sisi kwa kuwa tunakandmiza haki za binadamu na demokrasia nchini wewe naww mbuziii tu,hao wa marekani juzi tu kwenye kampeni mlishaoneshwa wazi manabaguliwa na huyo rais bado mnakuwa ma mbuzi tu ivi unazijua haki za binadamu wewe? mbuzi tu na wewe
Don't you ever drive on my lane again I'm way above your league
Cc:paw
 
Mtu anaeishabikia Korea haijui vizuri ...ile nchi kwa kukandamiza haki za binadamu hata magaidi wakasome...kwa wakristo lile ndio taifa hatari zaidi kuwa mkristo na in fact sio mkristo tu hata muislam in short hutakiwi kuabudu kingine chochote tofauti na kale kajamaa na wazazi wake
Soma stories za defectors utachokaaa na sio western propaganda kama wengi tulivyo karirishwa
Yaani mtu akifungwa anafungwa yeye pamoja na vizazi vyake vitatu....kuna mengi sana kuhusu huo uongozi unahitaji Uzi wake kabisa
Sheria ya kufungwa au kuuawa vizazi vitatu imekuepo korea karne kadhaa, kwako ni jambo geni ila kwao sio geni hata kidogo,
 
Kaka, kawaida ukijua sana au ukiwa na vitu vingi vya ziada lazima uchukiwe na wengi hawatokupenda hata wanaofaidika na ww,
 
Wewe kama unatumia vya watu subiri kutumiwa na wewe ila mi namkubali mkorea kaskazini piga ua siwezi shabikia us
 
63c590c1f12d06435daf2d6f0be51060.jpg


Ilinilazimu kuangalia past post zako nikagundua wewe USA baby unatetea interest zako Waache wengine waendelee kutetea interest zao pia USA baby
 
Aya mauza uza yote yanayotekea duniani chanzo kikubwa ni uyo uyo mmarekani.Kwaiyo kama kazi yake nikuonea nchi ndogo unadhani siku zote watu watamuunga mkono.
 
Back
Top Bottom