maila stanslaus
Member
- Aug 10, 2015
- 17
- 32
Tatizo lakibiti bila wanakibiti wenyewe kutoa ushirikiano ktk majeshi yetu litawasumbua sana askari wetu mm naamini kabisa hawa wanaofanya mauaji haya nwatu tunakula nao,kulala nao,nakushinda nao tukishirikiana wote kwa pamoja kutokomeza swala hili inawezekana