Utumbuaji wafanyakazi 10000 kumzamisha Magufuli 2020

Ndugu zangu hii kitu tusichukulie mzahamzaha Kumbuka hao wafanyakazi wana Baba zao, Mama zao, Bibi, Babu, Wajomba, Wake ,watoto na Wajukuu hizi namba zikilishwa simu vizuri usifanye mzaha na Hawa watu wewe cheza na namba tuu utaupata jibu. Kumbuka ile timu ya wanafunzi wa Udsm ya akina Masawili ilivyomsumbua Jk sasa tofautisha kati ya wanafunzi na hawa Wazee wetu waliopata haya majaribu
 
Haki ingetendeka endapo wangepatiwa nafasi za uteuzi kwakua hazihitaji vyeti maana kwakias fulani wamechangia kusukuma gurudum la maendeleo ktk nchi yetu
Mkuu umejuaje kama hao feki wamechangia kulisukuma gurudumu la maendeleo? Pengine hao feki ndio waliochangia kulirudisha nyuma gurudumu la maendeleo!!

Nawaza tu!!
 
Kwa hiyo bora asiwatumbue ili wabaki kazini na vyeti feki ili kujihakikishia ushindi 2020?
Kati ya Magufuli na Tanzania kipi bora?
Magufuli akishindwa 2020 Tanzania itapotea duniani?

Kwa hiyo hao 10,000 watakaotumbuliwa ndio watapelekea vyama pinzani kushinda urais? Kwa hiyo unataka kusema watu vilaza ndio mtaji wa vyama pinzani?
 
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote
wewe una akili kweli?
 
Yupo sawa,waliofoji vyeti wapishe waondolewe wote,waliosota kwa uhalali wale vitengo.hujasoma unataka nafasi za wasomi.kalime hukooo tandahimba
 
Ndugu zangu hii kitu tusichukulie mzahamzaha Kumbuka hao wafanyakazi wana Baba zao, Mama zao, Bibi, Babu, Wajomba, Wake ,watoto na Wajukuu hizi namba zikilishwa simu vizuri usifanye mzaha na Hawa watu wewe cheza na namba tuu utaupata jibu. Kumbuka ile timu ya wanafunzi wa Udsm ya akina Masawili ilivyomsumbua Jk sasa tofautisha kati ya wanafunzi na hawa Wazee wetu waliopata haya majaribu
Boss hamna kitu hapo this is Africa. miaka 10 ya JPM nilazma. japange tu jinsi ya ku inshi huo mda.
 
Haki ingetendeka endapo wangepatiwa nafasi za uteuzi kwakua hazihitaji vyeti maana kwakiasi fulani wamechangia kusukuma gurudum la maendeleo ktk nchi yetu
HAWAJAFUKUZWA! WAMEAMBIWA WAJIONDOE WENYEWE, ANAYEONA KAONEWA HAFUKUZWI ANACHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA KWA KOSA LA KUGUSHI VYETI,
 
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote
nani kakwambia wanaingia madarakani kwa kura yako tume inamtosha kura yako ya nini
 
Mku watu kujipanga sio kazi kwa ujumla Vita unayoijua haiwezi kukuumiza sana tofauti na Vita usiyoijua. Hili ni jambo la muda Impact yake itaonekana kuendana na mazingira. Ndiyo maana na sisi tunalijadili wao kama wao bado
 
Jana ilishuhudiwa utumbuaji mkubwa na wa kihistoria kwa wafanyakazi wa umma waliofoji vyeti vya taaluma zao hapa nchini na haikuwahi kutokea toka nchi hii ianze

Utumbuaji huo ulifanywa na Rais Magufuli hivyo kupeleka simanzi masikitiko na huzuni kwa watanzania wengi wa hali za chini ambao vipato vyao vinategemea ujira huo tu

Ukweli mchungu, utumbuaji huu lazima utamzamisha Magufuli ifikapo Uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2020

Waathirika wa utumbuaji huu ni watanzania, na watanzania ndio wapiga kura za ndio kwa rais hivyo hawatakubali waendelee kuumizwa kama hivi rais alivyowafanyia sasa

Lazima watanzania warudishe kisasi kwa Magufuli!

Magufuli na CCM 2020 msimtafute mchawi atakayewakwamisha, mmeshajichimbia kaburi wenyewe na kiama chenu kimefika mwisho 2020

Poleni sana wahanga wa vyeti feki wote
.........kwa hiyo ulifoji vyeti ukitegemea kinga ya kura !
What if 'ukipewa hati ya nyumba feki na Papa Msofe' ......utajisikiaje !??
 
Back
Top Bottom