Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,358
- 8,497
Acha tu ila mimi namkubali sana.Kabisaaa... Half kapotea kabisa sasa hv ila Nicki bado anatusua tu
Acha tu ila mimi namkubali sana.Kabisaaa... Half kapotea kabisa sasa hv ila Nicki bado anatusua tu
Iggy naazela wako kwenye industry hawana hata 10 years, remy ma ni more than 20 years!!! kma mnawshindanisha kwa mkwanja sawa kama ni real hiphop kwa generation ya sasa iv niky kwa remy ma ni mtoto, BET sio wajinga jamani!! uyo dada ana bars hevy weight!!!Kabisaaa... Half kapotea kabisa sasa hv ila Nicki bado anatusua tu
Wewe ni me au keIggy naazela wako kwenye industry hawana hata 10 years, remy ma ni more than 20 years!!! kma mnawshindanisha kwa mkwanja sawa kama ni real hiphop kwa generation ya sasa iv niky kwa remy ma ni mtoto, BET sio wajinga jamani!! uyo dada ana bars hevy weight!!!
Hahaha ke my dear!!!Wewe ni me au ke
Nimependa mchango wako
Remy kaanza mziki lini au kauanzia jela, alikuwepo hakua malkia hatokua hata sasa hiviNicki minaj ndo ajipange kufika level za Remy ma......mwaka mmoja tu toka Remy ma atoke jera kashaanza kumuhenyesha.......tafakari chukua hatua
Remy Ma anaweza kuufuata moto huu?
nicki minaj anaandikiwa ngoma zake na tokea aachane na yule bwana wake safaree aliyekua akimuandikia zile hit songs zote hajaweza kutoboa na hit nyingine iliyotamba billboard tofauti na remy ma yeye anajiandikia ngoma zake na anaishi anachokiimba, nick ni fake kuanzia body hadi rylically!
Jifariji......kuna mstari kwenye diss ya shether Remy ma anamwambia nick do u forgotten that I pressed you before bitch...so Nicki kapata exposure baada ya Remy ma kuingia jera so karudi na moto ushaanza kuwaka so mjipange kisaikolojiaRemy kaanza mziki lini au kauanzia jela, alikuwepo hakua malkia hatokua hata sasa hivi
Mbona shether ilimgalagaza mpk akaomba back up kwa ghost writter wake kina drake na tunench (lil Wayne)Safaree mwenyewe kakataa wewe hayo maneno umetoa wapi. Nicki kakulia New York, sio mtu wa one hit song, kuna ushahidi tangu enzi hizo yuko underground anachana free style kitaa, we unasema nini? Kwanini kuna kitu inaitwa "Nicktionary"? Angekuwa anategemea ghost writer hiyo kitu isingekuwepo. Troll Nick kwenye body image kwasababu ndio binadamu tulivyo, lakini kwenye michano achana nae kabisa.
By the way nini tofauti ya wimbo na diss song?Acha uzwazwa shetter ni diss song
All the way up ni nyimbo ya fat joh
Nimalizie mimi ndio nimeanzisha post ya kijinga
Diss song sio official songBy the way nini tofauti ya wimbo na diss song?
All the way up ni duo ya Remy ma na Fat joe.
Wakati unasema diss song sio official, Remy ma huyoo karamba tuzo sasa cjui wew unajua zaid ya hao waliompigia kura na kumpa ushindiDiss song sio official song
Hawa mashabiki maandazi wa remy ma uku wanashindwa taja nyimbo hata 5
Huu moto wa Remy ma haijawahi kuwaacha berbes salamaSwish Swish! Katy Perry feat Nick Minaj ndio habari ya mujini!
All the way up ya remy ma??Shether
All the way up
Zingne malizia ww