Anayefurahia kinachoendelea Dodoma ajipime kwanza!

Kuna hatari huyu mtukufu akaji "ROBERT MUGABE" kwa kukaa milele!!
Hawezi wala hata kujaribu unajua kuna TV ngapi na redio ngapi Zimbabwe linganisha na tz unajua kuna NGO ngapi uliza kwa Mgabe unajua kuna vyama vingapi vya siasa kaulize na Zimbabwe Yangu wapate Uhuru wanaamini Mgabe ndio baba Yake so Tanzania
 
Hii ni dalili mbaya kwa taifa tena mbaya sana na anayefurahia akiamini kuwa ni la ccm wacha wababuane wenyewe ana haja ya kujipima maana haifikirii kesho yake,
Napata picha mbaya siku za usoni.
Hiyo ni picha yako mwenyewe wala haina ukweli hata kesho sio tu siku zijazo, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 50, kufukuzwa hao wahuni wachache ndani ya ccm unadhani ni hatari kwa chama? Kama unawaza hivyo unajidanganya mkuu, kuna watu walishafanya CCM ni taasisi zao na familia zao na rafiki zao! Sasa Mwenyekiti Magufuli anataka kukifanya chama kiwe huru na kila mtu aheshimike kwa uwezo wake wa kichwani na sio hela!
 
Hii ni dalili mbaya kwa taifa tena mbaya sana na anayefurahia akiamini kuwa ni la ccm wacha wababuane wenyewe ana haja ya kujipima maana haifikirii kesho yake,
Napata picha mbaya siku za usoni.
Acha unafiki wacha tusafishe makapi wanaoimba CCM mchana usiku wako kwa mamvi
 
Hii ni dalili mbaya kwa taifa tena mbaya sana na anayefurahia akiamini kuwa ni la ccm wacha wababuane wenyewe ana haja ya kujipima maana haifikirii kesho yake,
Napata picha mbaya siku za usoni.
Screenshot_2017-03-11-20-06-15.png
 
Hii ni dalili mbaya kwa taifa tena mbaya sana na anayefurahia akiamini kuwa ni la ccm wacha wababuane wenyewe ana haja ya kujipima maana haifikirii kesho yake,
Napata picha mbaya siku za usoni.
Una matatizo binafsi unataka yawe yetu wote. No way!
 
Mlisema wakati wake uchaguzi akikatwa Lowasa chama kitasambalatika Lowasa kakatwa na ccm imeendelea kuongoza Kama kawaida. Nyinyi mnataka chama kiwe cha mtu mmoja Kama cdm akiamuwa mgombea awe Fulani anakuwa hata maamuzi ya vikao vyao hayaheshimiwi.
 
Hii ni dalili mbaya kwa taifa tena mbaya sana na anayefurahia akiamini kuwa ni la ccm wacha wababuane wenyewe ana haja ya kujipima maana haifikirii kesho yake,
Napata picha mbaya siku za usoni.
Unataka tusaidieje mkuu?
 
Wana ccm wote wapenda chama wanafurahia yanayoendelea dodoma.

Sidhani kama kuna mtu ambaye mkewe au mumewe akimsaliti atafurahia usaliti wake, ni lazima atachukua hatua.

Wanaofukuzwa wote ni vibaraka wa aliyekuwa mwanachama wa ccm, mamvi, na wanaendelea kuwa waaminifu kwake. Kuendelea kuwaacha ndani ya ccm ni kukiuza chama.

Ila habari ya wanaofukuzwa sio njema kabisa kwa chadema maana sasa hawana namna ya kuendelea kupitisha mambo yao na kuharibu ccm, au kupata info za ndani, maana watu wao hawapo, na hili ni funzo, wewe kama ni mwana ccm kuwa muaminifu kwa chama, katiba inakutaka hivyo, ukiona chama hakikufai kwa kutofanya unavyoona wewe inafaa, toka nenda kwingine, usipotoka na tukikujua tutakufukuza.

(Ndio maana chadema mlimfukuza Zitto Kabwe toka chadema kwa kigezo kuwa ni 'msaliti', so usaliti ni kosa la kufukuzwa chama, period

Muda wa kuchekeana umekwisha. Hatutaki wana ccm mchana wakati usiku ni wana chadema.

Poleni chadema, mjipange. Hongera CCM kwa kukipanga chama na kutuhudumia wananchi
 
Hii ni dalili mbaya kwa taifa tena mbaya sana na anayefurahia akiamini kuwa ni la ccm wacha wababuane wenyewe ana haja ya kujipima maana haifikirii kesho yake,
Napata picha mbaya siku za usoni.
Mimi ni mmoja wapo. Ndiyo majibu ya maombi. Ukininyang'anya mke wangu halafu mimi nikaacha kukufanyia fujo badala yake nitamwambia Mungu pigana naye huyo ndivyo inakuwaga. Wakati mwingine muwe mnawasikiliza wenye maono kama kina TB Joshua. Wakiona huwa hawanyamazi wanasema tena hadharani. Hawafichagi
 
Kuna hatari huyu mtukufu akaji "ROBERT MUGABE" kwa kukaa milele!!
Hakuna kitu kama hicho. Labda amuue Yesu Xto kwanza. Wanamshauri hivyo wanajidanganya wao na yeye pia. This will only happen when and if Jesus Christ dies otherwise it's just makida makida
 
Taa nyekundu imewaka, wakitoka ccm itahamia serikalini na itafuata kwa wananchi.... Nimeanza kuogopa tunapoelekea
 
Back
Top Bottom