Hapa kazi tu.
Matokeo hayo hayatakuja kama muujiza ndugu.. Kama kiongozi hizo ziara za maofisini ni sehemu muhimu ya kazi zake. Viva J.J.P.M. Tanzania's dream president !
Pole, hii case inanikumbusha case ya rafiki yangu, nae mke wake alikuwa na tabia na mienendo kama hiyo. Na siku moja aliondoka na kuchukua kila kilicho chake. Huwezi kuamini baada tu ya wiki moja akampigia simu mshikaji eti anataka kurudi. Jamaa yangu akamwambia kaa huko huko ntakuja kukuchukua...
Nchi hii imejaa umasikini na njaa, vichwani mwao ni kuuana tu. Kagame katoa hisia zake moyoni... je, anachokiongea kina ukweli ndani yake? Je, yeye ni msafi?
Ngwajima aliongea na hisia zake binafsi, alichemka mbaya. Wanadamu tupo hapa tulipo leo ili kujifunza. Ngwajima kapata somo sasa atakuwa mtu bora zaidi ya alivyokuwa awali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.