SOLDIER GENIUS
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 358
- 241
Wako vizur sana upande wa internet 3g hadi vijijini, ila wazidishe promotions na offers ili kuteka soko la mawasiliano, halo tz
Halotel wamekuja kuwekeza kiasi cha takribani dola 736 million za Marekani (sawa na tsh bilioni 16.9). je pesa hizi zingekua zako ungeweza kuiona fursa hii na kuziwekeza hapa Tanzania? Ukiweka maanani kwamba kuna kampuni zipo tayari kwa miaka mingi hapa nchini zikitoa huduma ya mawasiliano lakini bado hazijaweza kushika soko ipasavyo.
Hivi nani anaipigia debe kampuni hii, naona kuna baadhi ya watu wenye mamlaka nchini wanaichangamkia sana kumpuni hii kuliko TTCL,kazi/projects ambazo zilipaswa kutekelezwa na TTCL wanapewa wao! Kuna nini nyuma ya pazia kuhusu kampuni hii ya Wavietnam,kwa nini na wao wasije kama makumpuni megine yanayo wekeza nchi bila ya kutegemea kubebwa na Viongozi Serikalini kwa kujaribu kui-undermine TTCL kiaina.Hii kampuni inaubia na mstaafu na Ina mkataba wa kufunga net kwenye halmashauri zote nchini baada ya Muda mfupi tu pesa Yao itakuwa imerudi.
Mkuu lakini kazi hiyo ilipaswa kufanywa na TTCL sio Halotel/VieTel.Na wamesha funga internet kwenye halmashauri karibu zote,shule karibu zote za serikali na taasisi nyingi zilizo chini ya serikali hapa Tz..uwekezaji wao hawa kukulupuka tu...
Hii kampuni inaubia na mstaafu na Ina mkataba wa kufunga net kwenye halmashauri zote nchini baada ya Muda mfupi tu pesa Yao itakuwa imerudi.
Mkuu nikweli,mimi nimezungumza nao inaonekana wamewekewa gavana/spana na TCRA - walinishangaza waliposema hawawezi kwenda kinyume na charges za makampuni ya simu nchini!
Hii inamaanisha kampuni hizi za simu Nchini zinaendesha biashara zao kwa mtindo wa ki-cartel hivi ambao ni kinyume cha sheria!
Tunambiwa Tanzania inaruhusu Biashara huria lakini naona kitu hicho hakipo kwenye Makampuni ya simu yanaonekana kuiteka nyara TCRA, shinikizo la makampuni ya simu nchini ndio kumeifanya HALOTEL ifuate mkumbo bila hilo tarrifs zao zingekuwa chini/nafuu mno.
Naona Dk.Magufuli atapaswa kutupia macho makampuni haya ya Simu vile vile na utendaji kazi wa TCRA una walakini sana hawaweki maanani maslahi ya wateja/watumiaji6 wa simu.
Huu mtandao ni safi sana ila swali langu, ukipiga kwa mtandao wa zantel, halotel inakwambia mtandao wa zantel umezimwa, hata simu ikiwa on, hapo sipaelewi
Hii kampuni inaubia na mstaafu na Ina mkataba wa kufunga net kwenye halmashauri zote nchini baada ya Muda mfupi tu pesa Yao itakuwa imerudi.
Ilivyoanza Airtel mlisema hivyo hivyo,Viongozi na wao ni watumiaji wa sim kama wewe tu.Hivi nani anaipigia debe kampuni hii, naona kuna baadhi ya watu wenye mamlaka nchini wanaichangamkia sana kumpuni hii kuliko TTCL,kazi/projects ambazo zilipaswa kutekelezwa na TTCL wanapewa wao! Kuna nini nyuma ya pazia kuhusu kampuni hii ya Wavietnam,kwa nini na wao wasije kama makumpuni megine yanayo wekeza nchi bila ya kutegemea kubebwa na Viongozi Serikalini kwa kujaribu kui-undermine TTCL kiaina.
Watatoboa.
Soko ni kubwa sana.
sasa km n hivi kampuni hizi za tz yasiwaze kutoka nje ya hapa sababu huko ni full huriaMkuu nikweli,mimi nimezungumza nao inaonekana wamewekewa gavana/spana na TCRA - walinishangaza waliposema hawawezi kwenda kinyume na charges za makampuni ya simu nchini!
Hii inamaanisha kampuni hizi za simu Nchini zinaendesha biashara zao kwa mtindo wa ki-cartel hivi ambao ni kinyume cha sheria!
Tunambiwa Tanzania inaruhusu Biashara huria lakini naona kitu hicho hakipo kwenye Makampuni ya simu yanaonekana kuiteka nyara TCRA, shinikizo la makampuni ya simu nchini ndio kumeifanya HALOTEL ifuate mkumbo bila hilo tarrifs zao zingekuwa chini/nafuu mno.
Naona Dk.Magufuli atapaswa kutupia macho makampuni haya ya Simu vile vile na utendaji kazi wa TCRA una walakini sana hawaweki maanani maslahi ya wateja/watumiaji6 wa simu.
Biashara kubwa ya mitandao ya simu siku hizi ni bando,
Bando zao zina gharama sana kufanya watu wasiwaunge mkono though internet yao ipo vizuri