Piere Nkurunzinza sasa ashitakiwe ICC

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,173
Mfululizo wa mauwaji unaoendelea sasa huko Burundi hauvumiliki na dunia ya watu wastaarabu haiwezi kukaa kando ikitizama kimya.

Watu 200+ inasemekana wameuliwa katika visa vya maofisa usalama wa serikali ya bujumbura kuwapiga 'masasi' raia wanaoaminika kuwa walishiriki kupinga kukanyagwa kwa katiba ya nchi kulikompatia Nkurunzinza uhalali haramu wa kugombea muhula wa tatu.

Rai yangu ICC wamkamate huyu jamaa akanyee debe.
 
Mfululizo wa mauwaji unaoendelea sasa huko Burundi hauvumiliki na dunia ya watu wastaarabu haiwezi kukaa kando ikitizama kimya.

Watu 200+ inasemekana wameuliwa katika visa vya maofisa usalama wa serikali ya bujumbura kuwapiga 'masasi' raia wanaoaminika kuwa walishiriki kupinga kukanyagwa kwa katiba ya nchi kulikompatia Nkurunzinza uhalali haramu wa kugombea muhula wa tatu.

Rai yangu ICC wamkamate huyu jamaa akanyee debe.

1. Majority ya wanaouawa ni kina nani? Tuanzie hapo ili tujue kama mhusika ni Pierre au la. Hakuwezi kuwa na vita kati ya wamasai na wasukuma halafu wewe useme wamasai washitakiwe ICC wakati waliokufa wengi ni wamasai! Je maofisa wa Nkurunziza wanajiua wenyewe? Wananchi wanajipiga risasi wenyewe? Jeshi lilishatuliza mapinduzi, na sasa jeshi lote linamtii Nkurunziza, Niyombere amesha surrender hao 'waasi' wanaofanya mashambulizi mpakani mwa Rwanda wanamuwakilisha nani? nani kawapa silaha na wametokea wapi? nani kamanda wao?

2. Mahakama ya EAC imempa uhalali Nkurunziza vile vile je nchi zote za EAC zimekanyaga katiba ya Burundi? Taja nchi moja DUNIA NZIMA ambayo haimtambui Nkurunzinza.
 
Hivi akina kagame wanaweza kuinyoshea kidole burundi?binafsi nimestuka kusikia DW na Kusoma the monitor ya Uganda ati kagame ndo msemaji wa UN,EAC juu ya Burundi
 
Ubaya akishtakiwa ICC, wafrika wajinga watateta eti korti hilo inawalenga waafrika tu.
AU iko na fursa hv sasa kuintervene kwenye suala hilo. Mbona AU is silent over the political situation there? We all know that the current AU chairman wouldnt hesitate using similar repressive tactics to thwart any agitations for change.

Africa is a cursed continent.
 
1. Majority ya wanaouawa ni kina nani? Tuanzie hapo ili tujue kama mhusika ni Pierre au la. Hakuwezi kuwa na vita kati ya wamasai na wasukuma halafu wewe useme wamasai washitakiwe ICC wakati waliokufa wengi ni wamasai! Je maofisa wa Nkurunziza wanajiua wenyewe? Wananchi wanajipiga risasi wenyewe? Jeshi lilishatuliza mapinduzi, na sasa jeshi lote linamtii Nkurunziza, Niyombere amesha surrender hao 'waasi' wanaofanya mashambulizi mpakani mwa Rwanda wanamuwakilisha nani? nani kawapa silaha na wametokea wapi? nani kamanda wao?

2. Mahakama ya EAC imempa uhalali Nkurunziza vile vile je nchi zote za EAC zimekanyaga katiba ya Burundi? Taja nchi moja DUNIA NZIMA ambayo haimtambui Nkurunzinza.
Wewe iko sema nini? The majority of the dead are the civillians hailing from the civillian strongholds within Bujumbura, and there's overwhelming evidence of the involvement of the security brigade in what appears to be an effort to thwart any agitation for the leadership change in that country.
 
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.

Mambo kama hayo ndiyo yanafanya uipende Tanzania hata ukiwa si Mtanzania.

Awamu ya tano sasa tunabadilishana kwa usalama na amani.
 
Asilimia kubwa ya madkteta yapo Afrika na hata Icc inawahusu wao na hata katiba mbovu na kutoheshimu sheria ni afrika
 
1. Majority ya wanaouawa ni kina nani? Tuanzie hapo ili tujue kama mhusika ni Pierre au la. Hakuwezi kuwa na vita kati ya wamasai na wasukuma halafu wewe useme wamasai washitakiwe ICC wakati waliokufa wengi ni wamasai! Je maofisa wa Nkurunziza wanajiua wenyewe? Wananchi wanajipiga risasi wenyewe? Jeshi lilishatuliza mapinduzi, na sasa jeshi lote linamtii Nkurunziza, Niyombere amesha surrender hao 'waasi' wanaofanya mashambulizi mpakani mwa Rwanda wanamuwakilisha nani? nani kawapa silaha na wametokea wapi? nani kamanda wao?

2. Mahakama ya EAC imempa uhalali Nkurunziza vile vile je nchi zote za EAC zimekanyaga katiba ya Burundi? Taja nchi moja DUNIA NZIMA ambayo haimtambui Nkurunzinza.
Did u have meth for breakfast or what? Okay, which country in the world has expressed its recognition of the Burundian govt, even right here in Africa?
That govt is in power illegally, got into power thru a flawed election, only some crank like Mugabe et al would recognize it.
 
Wewe iko sema nini? The majority of the dead are the civillians hailing from the civillian strongholds within Bujumbura, and there's overwhelming evidence of the involvement of the security brigade in what appears to be an effort to thwart any agitation for the leadership change in that country.

Wacha kukurupuka did i say the majority are non-civilians? Kama kiswahili hujui jifunze. Of course the majority are civilians. What i meant is, are they the civilians who oppose Nkurunzinza or the ones supporting him? The opposition demonstrations are only confined in Bujumbura, tena in only certain neighbourhoods, outside of those areas the rest of Bujumbura and the rest of the country is peaceful. I have explained in detail in my thread here, you are welcomed to read it.
https://www.jamiiforums.com/international-forum/969083-sindumuja-ukweli-kuhusu-burundi-2-a.html

Also these would be helpful:

2. The opposition movement hashtag on twitter: https://twitter.com/hashtag/sindumuja

3. A counter hashtag by the same Burundians here: https://twitter.com/hashtag/stopsindumuja
 
Did u have meth for breakfast or what? Okay, which country in the world has expressed its recognition of the Burundian govt, even right here in Africa?
That govt is in power illegally, got into power thru a flawed election, only some crank like Mugabe et al would recognize it.

Meth? really? So which president does the Burundi ambassador in Nairobi represent? Your mother? What president was Hon Pierre Ntavyohanyuma representing in TZ during Magufuli swearing-in ceremony recently? Name one country, just one that has broken diplomatic relations with Burundi because it does not recognize Nkurunzinza. If you fail to do so then please stick to discussing why Waiguru can't be fired, international politics is clearly above your league son.
 
1. Majority ya wanaouawa ni kina nani? Tuanzie hapo ili tujue kama mhusika ni Pierre au la. Hakuwezi kuwa na vita kati ya wamasai na wasukuma halafu wewe useme wamasai washitakiwe ICC wakati waliokufa wengi ni wamasai! Je maofisa wa Nkurunziza wanajiua wenyewe? Wananchi wanajipiga risasi wenyewe? Jeshi lilishatuliza mapinduzi, na sasa jeshi lote linamtii Nkurunziza, Niyombere amesha surrender hao 'waasi' wanaofanya mashambulizi mpakani mwa Rwanda wanamuwakilisha nani? nani kawapa silaha na wametokea wapi? nani kamanda wao?

2. Mahakama ya EAC imempa uhalali Nkurunziza vile vile je nchi zote za EAC zimekanyaga katiba ya Burundi? Taja nchi moja DUNIA NZIMA ambayo haimtambui Nkurunzinza.

You make me sick. BIGOTED, TRIBALIST, GENOCIDE REVISIONIST.

Huyo nkuruziza wako unaemtetea kwa kuua raia wake utamkuta the Hague very soon. Endelea tu na upuuzi wako.
 
Meth? really? So which president does the Burundi High commissioner in Nairobi represent? Your mother? What president was Hon Pierre Ntavyohanyuma representing in TZ during Magufuli swearing-in ceremony recently? Name one country, just one that has broken diplomatic relations with Burundi because it does not recognize Nkurunzinza. If you fail to do so then please stick to discussing why Waiguru can't be fired, international politics is clearly above your league son.

Which country recognizes the Burundi government? Which country sent Nkurunziza congratulatory message after the shambled election? Mmmh...Dimwit
 
You make me sick. BIGOTED, TRIBALIST, GENOCIDE REVISIONIST.

Huyo nkuruziza wako unaemtetea kwa kuua raia wake utamkuta the Hague very soon. Endelea tu na upuuzi wako.

who is killing Nkurunzizas supporters?
 
Which country recognizes the Burundi government? Which country sent Nkurunziza congratulatory message after the shambled election? Mmmh...Dimwit

the same ones that congratulated Kagame for his constitution amendment that lets him be president till 2034! dimwit! I guess diplomats from Burundi in other countries are representing you!
 
Nchi hii imejaa umasikini na njaa, vichwani mwao ni kuuana tu. Kagame katoa hisia zake moyoni... je, anachokiongea kina ukweli ndani yake? Je, yeye ni msafi?
 
Wacha kukurupuka did i say the majority are non-civilians? Kama kiswahili hujui jifunze. Of course the majority are civilians. What i meant is, are they the civilians who oppose Nkurunzinza or the ones supporting him? The opposition demonstrations are only confined in Bujumbura, tena in only certain neighbourhoods, outside of those areas the rest of Bujumbura and the rest of the country is peaceful. I have explained in detail in my thread here, you are welcomed to read it.
https://www.jamiiforums.com/international-forum/969083-sindumuja-ukweli-kuhusu-burundi-2-a.html

Also these would be helpful:

2. The opposition movement hashtag on twitter: https://twitter.com/hashtag/sindumuja

3. A counter hashtag by the same Burundians here: https://twitter.com/hashtag/stopsindumuja
lol... you see jMali? anyway facts are stubborn! before we search for those #tags... if the opposition is confined in some parts of the capital Bujumbura, BTW confined by who? anyway, just give us your Interahamwe point of view... who is to blame for the killings going on day after day in those neighborhoods? but please while explaining don't base on your infamous stories about what you did back then in Rwanda... that you killed innocent people because you were attacked or similar shit! welcome jMali
 
Nkurunziza hna kosa la kumtia hatiani kabisa kwani huu ni mpango wa jirani yake
 
Nkurunziza hna kosa la kumtia hatiani kabisa kwani huu ni mpango wa jirani yake
acha kuuanika ujinga wako wewe... kwani nani anayeongoza nchi ya Burundi ingawa sio kihalali? kwa hiyo Nkurunziza aboronge alafu jirani wake ndio alaumiwe? kazi ipo
 
Back
Top Bottom