Vladimir Putin; Terrorism quotations'

niliipenda hii,,,hata terrorists wenyewe wakisikia haya maneno watacheka kwanza
 
Russia wamechafukwa,hadi TU-160 blackjack imeletwa kutwanga na kupepeta.hii ndege supersonic and the largest combart aircraft in the world ndo kwa mara ya kwanza tangu iundwe inashiriki vitani
 
Alisema "To forgive Terrorists is the duty of God, Our duty is to send them to God"
 
Russia wamechafukwa,hadi TU-160 blackjack imeletwa kutwanga na kupepeta.hii ndege supersonic and the largest combart aircraft in the world ndo kwa mara ya kwanza tangu iundwe inashiriki vitani
Hizi ndege amezitumia pale tu Kremlin ilipotangaza kuwa ndege yao iliyoanguka huko Egypt ilishambuliwa na bomu lililoingizwa ndani na mtandao wa ISIS. pamoja na hizi Tu-160 pia Tu-95 nazo zinashiriki pamoja na cruise missiles kutoka Mediterranean sea kushambulia sehemu mbali mbali za ngome ya ISIS
 
Hahaha putin kayapa kichapo magaidi ya daesh huko raqqa siryia mpaka yameanza kukimbilia huko mosul iraq, kumbe hayataki kufa yakale bikra 72 ahela.
 
Hahaha putin kayapa kichapo magaidi ya daesh huko raqqa siryia mpaka yameanza kukimbilia huko mosul iraq, kumbe hayataki kufa yakale bikra 72 ahela.

mkuu hata kubwa Lao joka kuu osama bin laden komandoo wa USa walipomvamia chumbani kuitaka roho yake alijificha nyuma ya mke wake mwanamke akaonekana jasiri Osama akawa mbwa koko wakati alikuwa akiwatuma watumishi wake kwenda kuuwa watu ikibidi kujilipua.
 
Back
Top Bottom