Hata Brazil walifungwa 7 na Germany

ibanezafrica

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,261
6,546
Isiwe shida Taifa stars kufungwa idadi hiyo huo ndio mpira,Algeria ni timu kubwa sana yenye wachezaji wote ma pro wanaocheza ligi mbalimbali za ulaya na america la msingi kwetu ni kutafuta tunaondokaje hapa tulipo na kusonga mbele na ikibidi timu yetu sasa iangaliwe ikarabatiwe na kupewa michezo mingi ya kirafiki ya kimataifa ili kujenga uzoefu utaona pia mechi hii wachezaji wetu ni tayari ki akili walishafungwa hata kabla ya mechi na hii ilichangiwa na tension kubwa walokua nayo wachezaji wetu kiukweli ilikua mechi ngumu ambapo walitakiwa kicheza kwa utulivu na umakini mkubwa.

Rafu zisizo na akili zimetugharimu..bado wachezaji wajifunze na wajue nidhamu ni silaha nzuri ktk mchezo angalia mfano nidhamu alonayo Samatta ni kwa kiwango kile angalau....vijana wamejitahidi lakini bado kuna mapungufu ya kufanyiwa kazi hasa upande wa no 6 pia ukuta wa ulinzi nyuma kipa bartez nae leo kiasi hakua makini hasa kwa goli la kwanza,
 
Habar bubu !!! Stars Imefungwa ngapi ???

Stars si imefungwa 7-0, Jecha yuko wapi atufutie haya matokeo jamani :sly: dosari zilikuwa nyingi mno mfano polisi kuwatisha wachezaji, washabiki kukimbia na mipira nje ya uwanja na marefa kupigana hadharani :D:D:DJecha please do your thing, aibu hii:banghead:
 
Isiwe shida Taifa stars kufungwa idadi hiyo huo ndio mpira,Algeria ni timu kubwa sana yenye wachezaji wote ma pro wanaocheza ligi mbalimbali za ulaya na america la msingi kwetu ni kutafuta tunaondokaje hapa tulipo na kusonga mbele na ikibidi timu yetu sasa iangaliwe ikarabatiwe na kupewa michezo mingi ya kirafiki ya kimataifa ili kujenga uzoefu utaona pia mechi hii wachezaji wetu ni tayari ki akili walishafungwa hata kabla ya mechi na hii ilichangiwa na tension kubwa walokua nayo wachezaji wetu kiukweli ilikua mechi ngumu ambapo walitakiwa kicheza kwa utulivu na umakini mkubwa.
Rafu zisizo na akili zimetugharimu..bado wachezaji wajifunze na wajue nidhamu ni silaha nzuri ktk mchezo angalia mfano nidhamu alonayo Samatta ni kwa kiwango kile angalau....vijana wamejitahidi lakini bado kuna mapungufu ya kufanyiwa kazi hasa upande wa no 6 pia ukuta wa ulinzi nyuma kipa bartez nae leo kiasi hakua makini hasa kwa goli la kwanza,

kweli sisi Tz ni kichwa cha mwendawazimu yaani saba ila mimi najua kwanza wachezaji bongo ni walevi sanaaaa af wanamademu zaidi ya mmoja af mlo ni shiiida zaidi wengi wanavuta bangi sana hakuna unafiki hapa.
 
Yea, jifariji pia kwamba hata Australia iliifunga American Samoa 31-0
 
Matokeo mengine ya World cup qualification jana:
Saud arabia 10-Timor -0. Sio kesi.kwa Taifa kufungwa.
 
Wewe ni mpuuzi sana.
Nyie ndo hurudisha nyuma maendeleo ya taifa

Mkifungwa ndio mnasema ni timu ya watanzania. Nani hajui hiyo timu n'a wachezaji wake walikuwa wanaipigia kampeni ccm ,kwenye uchaguzi uliopita?. Acha yafungwe tu
 
Mkifungwa ndio mnasema ni timu ya watanzania. Nani hajui hiyo timu n'a wachezaji wake walikuwa wanaipigia kampeni ccm ,kwenye uchaguzi uliopita?. Acha yafungwe tu
Kama ni kweli ya yafungwe tuu hakuna namna tumechoka bana
 
Back
Top Bottom