Am mechanical engineer fouth year.Ninachotaka kukwambia n kwamba physics ina formula katika kusoma
1.Unatakiwa kwanza ujue ubongo wako una GB ngapi i.e una uwezo mkubwa wa kukumbuka au n wakuelewa n kusahau haraka.
2.Unatakiwa upate mwalimu sahihi wa tution au kukufundisha.Apa ukichemsha ndio...
Km ni hivyo basi n masuper star wangekuw wanaenda gym za mtaani ....unaua brand kihivyo simsapoti kiba kwan hawezi chagua hata timu moja anayo ipenda akawa anaenda kufany nayo mazoezi coz yy n star hawezi kataliwa
Kiazi kweli ww hauna akili mm sishabikii popote ila ww una chuki mnafiki mkubwa kaoge ......huo wimbo n mzuri sana ever sema aujui mziki ww ila kweny ile video y yule dada hata mm ndio nasema kakosea angeondoa kile kipisi tu but all in all he is the legend n nakuhakikishia huo wimbo utachukua...
Jamaa alikuwa anapenda kula sana apple haswa akiwa kwenye mazungumzo mazur akapendekeza jina ilo la apple ila wengine wakaongezea likiwekwa zima aitopendeza.wakaweka lililomegek ikapendeza zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.