cyhper_kyrpton
Senior Member
- Jun 30, 2015
- 138
- 31
Kuna kamchezo nimekasoma hapa.mm nahisi wamefanya hv ili kutengeneza kiki ili wapate wateja wa pesa ya juu zaidi mnada utakaporudiwa
Kwani alikuja na usafiri gani kwenye huo mnada Bajaj au Ndinga yake binafsKauzuuu.
Chini Ana sandroz
Man of the match.
Kila nikimkuta sehemu Lazma nicheke.
huo mpepeo noma sana, angalia team yono walivotoa meno wakijua biashara kwishney kumbe wao ndio kwishney....watz ni wasechu sana yan walivokua wanampepea dah walishndwa hata kujiongeza
Mzee atakua alikua msindikizaji wenye mzigo wako nyuma ya paziaHahahhahahaha yaani si kwa kumpamba kule...sawa basi nguo hazionyeshi bilionea... jamani hata afya na ngozi????
Na mpango wa viwanda 30Eti hizo nyumba watakaa wafanyakazi, mzee ana mbwembwe kinoma
*"Kuwa na uchumi mzuri sio kuwa na mahela yamejaa chumbani, uchumi ni pamoja na kuwa hela ngumu kuipata"...mzee anatembea na beat la Mkuu kwa vitendo....practising theoryHahaa huyu mzee awama ya magu imemchoropoa akili si bure
Huyu mzee alionekana mnada wa ng'ombe za kenya.....ni Dr mtaalamu wa manunuzi na minada ya hapa na paleNext atatokea Ubungo Plaza.
Milioni 900 itapendezaMilion 700 haitodhuru
Zamani kidogo ilikua titles as "Uprofesseri " sasa hivi wamekuja one step back hadi kwenye "U-Dr" karibuni watatuvamia na sisi wa vicertificatesKweli huyu jamaa kanifanya nisiwaamin hawa watu wenye title za u-Dr. ata kidogo
Kwa jinsi unavyomfahamu, huo mpunga ni kweli anao au naye njaa tu?Namfahamu huyu kazingua sana