Hapana ni zile mtu yuko chini ya muembe anadondokewa na naziZile jambazi akifika kwny tukio anavua viatu
weeeeee jamaa ushauri gani? huo kwa mwenzako duuuhata ufanyeje utaendelea kupata kichefuchefu kuz wewe sio mtu wa kawaida km wengine,km ulivyodai
km umefika kikomo jarib kitu kingine(jinyonge)
*mashauzi mwachie isha!
uongo walichoigiza au gharama walizotumia?Sio zote. Hii ya 2017. Aka the fate of furious ni uongo mtupu tena wa kitoto. Ila tusiishie kuiponda tu...
1.163 billion USD box office sales only.
Hii ni kama tsh2.4 trillions ambazo last year tanzania ilizunguka dunia nzima kutafta mkopo wa kiasi icho.
Sent using Jamii Forums mobile app