Ndg zangu wana jf, nimefuatilia mjadala wa suala la jairo leo bungeni. Wabunge wengi wa chama tawala, wameishia kusema kwa hofu na kushindwa kuweka wazi tatizo lilipo hasa.
Katibu mkuu kiongozi ambaye ni katibu wa baraza la mawaziri alikiri kwa kusema suala la jairo kuchangisha fedha kwa...
Kitendo cha CCM, chama ambacho ni kikongwe na ambacho miaka yote kimetawala nchi kutumia HELKOPITA 2 kwa ajili ya kampeni kinadhilirisha kuwa hali si shwari hata kidogo. Wananchi wa Igunga wengi wamechoshwa na hadi hewa za kila wakati hivyo hawana hamu tena ya kuona CCM inaendelea, ambao wako...
Ndg zangu wana JF, binafsi nakubaliana na wabunge wa CDM wanaosema kuwa maandamano ni lazima ili haki ipatikane. KUSEMA UWELI Kila mahali ambapo maandamano na migomo imefanyika, mabadiliko yametokea na kiasi fulani haki imepatikana.
Jana niliangalia watoto wa S/M Minazi mrefu...
Ndugu wana JF, nimekuwa nifuatilia mjadala unaoendeshwa na Star Tv na hata baadhi ya Magazeti kuhusu na utendaji wa SPIKA - MWANAMKE.
Kamati kuu ya CCM ndiyo iliyompitisha Spika tuliye naye sasa, Kamati kuu hiyo imeonekana hakuweza kufanya kazi vizuri kwa sababu ya kutawaliwa na makundi ndani...
RIPOTI YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI MWAKA ULIOISHIA TAREHE 30 JUNI, 2010 inasema
5.9 Kukosekana kwa orodha ya waliolipwa kiasi cha Sh.48,000,270,000 kwa ajili ya kuchochea ukuaji wa uchumi
Serikali ililipa kiasi cha Sh. 48,000,270,000 katika Benki Kuu ya Tanzania kama...
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) iliyokutana tarehe 10 Aprili 2011 mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Pamoja na maazimio mengine yote, imeona hali ya upepo wa siasa ulivyo na ikaazimia kwamba:-
KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA KUREKEBISHA KATIBA (NA SIYO...
Hatimaye Katibu Mkuu mpya wa CCM, amekiri chama chake kuwa maficho ya Mafisadi.
CCM inatakiwa kujengwa upya kabisa na ili hayo yaweze kufanikiwa, kuna kila sababu za kuwa na watu safi, hivyo mimi nawataka ndugu zangu wasimame katika misingi ya zamani tuliyokuwa nayo katika chama chetu,...
Kila mtanzania wenye dhamira ya kweli na nchi yake ataamini kabisa kuwa, ucheleweshaji wa matokeo unaofanywa na Wasimamizi ni hila za wao kuibeba CCM baada ya kuona imeshindwa vibaya.
Wazo la miundo mbinu ni uongo mtupu kwani haiwezekani hata Jiji la Dar es salaam iwe ni shida kutoa matokeo kwa...
Kwa kweli si jambo la kufurahisha, kazi imefanyika kwa AMANI harafu hawa jamaa wanataka kuanzisha fujo. Nina maswali machache hapa wana JF tujiulize.
1- Nini maana yake kila kituo kubandika matokeo ya kura zilizopigwa? Mimi ninavyojua, hata kabla ya wao kutoa matokeo rasmi, tayari umma unajua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.