Bila maandamano kwa tz, haki tusahau????

Lusambara

Member
Oct 31, 2010
38
9
Ndg zangu wana JF, binafsi nakubaliana na wabunge wa CDM wanaosema kuwa maandamano ni lazima ili haki ipatikane. KUSEMA UWELI Kila mahali ambapo maandamano na migomo imefanyika, mabadiliko yametokea na kiasi fulani haki imepatikana.


Jana niliangalia watoto wa S/M Minazi mrefu walipoandamana ili kudai kuwekewa matuta kwenye barabara, Matuta hayo kwa vile wameandamana, utaona yanawekwa mara moja. Wale madereva wa malori kule Tunduma walipogoma na kuandamana, haki imeanza kupatikana. Wanafunzi walipogoma na kudai nyogeza kwenye posho ya chakula, tayari serikali imeanza kulifanyia kazi na kiasi fulani kimeongezwa hata kama ni kidogo lakini ni majibu, Daladala Morogoro walipogoma na kuandamana kudai haki yao, nao wamesikilizwa nk. HIVI KWELI SERIKALI YA CCM NI SIKIVU KAMA INAVYOSEMWA KWELI???????????? MBONA MAHALI PENGI INASIKIA BAADA YA MAANDAMANO KUFANYWA??? INA MAANA INAPENDA WATU WADAI HAKI YAO ZAIDI KULIKO UTULIVU.

Hynes amesema kuwa bado maandamano hayajafanyika na inayofanyika ni pasha joto tuu.

HAKI YA TANZANIA INAPATIKANA KWA MAADAMANO NI LAZIMA TUIDAI NA TUANDAMANE

FIKIRI HILI

Mtu mmoja ni Mstarabu sana na wala hapendi fujo anapenda utaratibu katika kila jambo, ila ni mwizi na anakumbatia wezi na mafisadi wa rasilimali za nchi.

Na wa pili ni Kichaa, kazi yake ni kupiga kelele ili watu wapatiwe haki zao, Mafisadi wakamatwe na wafungwe na rasilimali za nchi zisiibwe bali zitumike kwa manufaa ya wote.

KATI YA HAO WAWILI YUPI NI BORA???
 
Mkuu si utaje tu majina ya watu hao wawili ili tumalize moja kwa moja?
 
Ndg zangu wana JF, binafsi nakubaliana na wabunge wa CDM wanaosema kuwa maandamano ni lazima ili haki ipatikane. KUSEMA UWELI Kila mahali ambapo maandamano na migomo imefanyika, mabadiliko yametokea na kiasi fulani haki imepatikana.


Jana niliangalia watoto wa S/M Minazi mrefu walipoandamana ili kudai kuwekewa matuta kwenye barabara, Matuta hayo kwa vile wameandamana, utaona yanawekwa mara moja. Wale madereva wa malori kule Tunduma walipogoma na kuandamana, haki imeanza kupatikana. Wanafunzi walipogoma na kudai nyogeza kwenye posho ya chakula, tayari serikali imeanza kulifanyia kazi na kiasi fulani kimeongezwa hata kama ni kidogo lakini ni majibu, Daladala Morogoro walipogoma na kuandamana kudai haki yao, nao wamesikilizwa nk. HIVI KWELI SERIKALI YA CCM NI SIKIVU KAMA INAVYOSEMWA KWELI???????????? MBONA MAHALI PENGI INASIKIA BAADA YA MAANDAMANO KUFANYWA??? INA MAANA INAPENDA WATU WADAI HAKI YAO ZAIDI KULIKO UTULIVU.

Hynes amesema kuwa bado maandamano hayajafanyika na inayofanyika ni pasha joto tuu.

HAKI YA TANZANIA INAPATIKANA KWA MAADAMANO NI LAZIMA TUIDAI NA TUANDAMANE

FIKIRI HILI

Mtu mmoja ni Mstarabu sana na wala hapendi fujo anapenda utaratibu katika kila jambo, ila ni mwizi na anakumbatia wezi na mafisadi wa rasilimali za nchi.

Na wa pili ni Kichaa, kazi yake ni kupiga kelele ili watu wapatiwe haki zao, Mafisadi wakamatwe na wafungwe na rasilimali za nchi zisiibwe bali zitumike kwa manufaa ya wote.

KATI YA HAO WAWILI YUPI NI BORA???

Wa pili nitampenda zaidi na zaidi
 
Hayo yamesemwa leo ikiwa ni ulinganifu kati ya Wabunge wa CCM na CDM. Mbuge wa ILEMELA ametumia mifano hiyo kuonyesha utofauti uliopo. AMESEMA HAKI YAKE NA UBUNGE WAKE NI MATOKEO YA MAANDAMANO, HIVYO KWAKE MAANDAMANO NI BABA NA MAMA, KAMWE HAWEZI KUDHARAU MAANDAMANO
 
Hata mimi naamini,bila maandamano na migoma hatuwezi kupata haki zetu tz.
Viongozi wameshiba,hiyvo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa
 
Back
Top Bottom