Ndugu wana JF, nimekuwa nifuatilia mjadala unaoendeshwa na Star Tv na hata baadhi ya Magazeti kuhusu na utendaji wa SPIKA - MWANAMKE.
Kamati kuu ya CCM ndiyo iliyompitisha Spika tuliye naye sasa, Kamati kuu hiyo imeonekana hakuweza kufanya kazi vizuri kwa sababu ya kutawaliwa na makundi ndani yake. Sasa je KWA MWENDO HUU WA SPIKA, ALIYETOKANA NA KAMATI HIYO ILIYOFUTWA NA CHAMA - TUTAFIKA?
Kwa nini kwa BUSARA KABISA - Spika asijiuzulu kwa manufaa ya UMMA? M/Mkiti Msekwa naye amesema kuwa Spika inatakiwa awe Mwanasheria na hili linaonyesha ambayo hata wao sasa wameanza kuona madhaifu yake.
MIMI NASEMA, KAMA ANASOMA JF, BASI NIOMBE UPIME KAZI YAKO KWANI GARI LILILOKUBEBA TAYARI LIMESHAZAMA, UTAWEZA KUELEA KWELI?
Kamati kuu ya CCM ndiyo iliyompitisha Spika tuliye naye sasa, Kamati kuu hiyo imeonekana hakuweza kufanya kazi vizuri kwa sababu ya kutawaliwa na makundi ndani yake. Sasa je KWA MWENDO HUU WA SPIKA, ALIYETOKANA NA KAMATI HIYO ILIYOFUTWA NA CHAMA - TUTAFIKA?
Kwa nini kwa BUSARA KABISA - Spika asijiuzulu kwa manufaa ya UMMA? M/Mkiti Msekwa naye amesema kuwa Spika inatakiwa awe Mwanasheria na hili linaonyesha ambayo hata wao sasa wameanza kuona madhaifu yake.
MIMI NASEMA, KAMA ANASOMA JF, BASI NIOMBE UPIME KAZI YAKO KWANI GARI LILILOKUBEBA TAYARI LIMESHAZAMA, UTAWEZA KUELEA KWELI?