ZURI.
Im Zuri. The CEO of Zuri microfince,mjukuu wa aliyekuwaa mwenye Dar es salaaa yake.aliyejua kutamba nayoo na kuinyoosha sawaa sawaaa,nani asinijuaa,nani asiyenifahamu Zuri mimi, niko na full of connection,sio connection za Gigi money na chuma hahahaha lkn, u know what i mean
Kama wewe...
WANTA
My name is Wanta,The big girl herself, the strongest one among our group of four matured ladies. Yaan strongs ile Ngangarii, u know what I mean ndugu msomi.
Sio kwamba niko Strong sababu nimezaliwa hivyoo. Big no,
I have to made a choice, either niwe weak nionewe na kudharaulikaaa kama...
Mpeleke hospitali kwa uchunguzi zaidi..
Pia, kuwa makini na UWEZO WAKE WA KUSIKIA, huenda tatizo hilo ndilo linapelekea yeye kutokuongea.
Nilipata tatizo kwa mtoto kama hilo.Alingalia hakuwa na tatizo lolotee.
Alikuja kuongea alipokaribia four years
Nashukuru kwa mchango wako wenye maekezo yanayojitosheleza kabisa..
Huyu Ni muajiriwa serikalini tayari. Nayeye alipenda ajiendeleze kielimu lakini katika fani itakayompa kipaumbele zaidi.
Mfano yupo lab lkn anadegree ya planing and management.,pale pale katika kitengo chake atakuwa anafursa...
Habari zenu wakuu.
Nina mdogo wangu mwenye diploma ya medical laboratory.
Anataka kujiendeleza kimasomo(yaan kuchukua degree ya kwanza) lkn isiwe mambo ya afya.
Anachotaka yeye in vitu kama management,procurement,public heath na kadhalika.
Najua hapa kuna wadau mbalimbali wenye uelewa mkubwa wa...
Kinachonifurahishaga na kunipa raha ni pale wanaume wanaposema kuwa eti mpaka nimekuoa ujue nakupenda kuchepuka ni kutamani tu.
Kwani wanawake nao hawatamani,Mimi mpaka kukubali kuolewa na wewe ujue ninakupenda michepuko ni tamaa tu
Habari za weekend wakuu. Naomba kufahamu bei ya toyota gaia used kutoka japan.
Nitashukuru pia kama nitapata ushauri kuhusu uzuri na ubovu wa gari hii kutoka kwenu wataalamu wa magari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.