Millen Magese (Happiness Magese) apata mtoto

Baada ya kuhangaika sana dada Millen magese ama zamani happiness magese na aliyewahi kuwa miss Tanzania, hatimaye mnamo tarehe 13 july 2017, 06:58 am amefanikiwa kupata mtoto wa kiume KAIRO MICHAEL MAGESE
30e5a8ccc97c17d47a8e1373e11065c7.jpg
fa875c334776ee581c2c3cdc6eb1878b.jpg
0e9336f47034cdc3271781f299a54bda.jpg
2acba41a944d89fbe9e6d177702fd56f.jpg


Ikumbukwe dada millen amehangaika sana lakini hakukata tamaa, nadhani watu wenye matatizo kama hayo msikate tamaa.....

Hongera Millen

Sent using Jamii Forums mobile app

Yule jamaa mwenye hati miliki ya Mkoa wa Dar mkewe nae si anatatizo kama hilo? aombe ushauri......
 
Yule jamaa mwenye hati miliki ya Mkoa wa Dar mkewe nae si anatatizo kama hilo? aombe ushauri......
Haya matatizo yana matibabu ya dawa za kienyeji ila wengi wanaamini kwenye wazungu...ila na yeye anasali sana atapata tu.

love thé love or hâte thé love.....
 
Haya matatizo yana matibabu ya dawa za kienyeji ila wengi wanaamini kwenye wazungu...ila na yeye anasali sana atapata tu.

love thé love or hâte thé love.....
Matatizo gani hayo?...maana huyu mwanamitindo alikuwa na tatizo lingine zaidi la ziada ina nimesahau kidogo
 
Baada ya kutafuta mtoto kwa kipindi kirefu hatimaye, mwanamitindo happiness magese maarufu kama ladivamillen amepata mtoto wa kiume aitwae kairo.

Hongera sana Millen Mungu ni mwema na wakati wa Mungu ni wakati sahihi.
View attachment 547116

View attachment 547115
her work
Millen Magese Foundation
Myths and misconceptions in endometriosis | Endometriosis.org

Endometriosis does not “equal” infertility

Too many young women are given the impression that having endometriosis invariably means that they will become infertile. This is not the case, and most women with endometriosis do go on to have children.

Unfortunately, there are no reliable statistics that indicate what percentage of women with endometriosis have no problems having children, have difficulties but eventually succeed, or never succeed. Therefore, it is impossible to give women a reliable indication of their chances of having fertility problems. However, in general, it is believed that the likelihood of fertility problems increases with the severity of the disease and, as in women without endometriosis, with age.

It is generally believed that 60–70% of women with endometriosis are fertile. Furthermore, about half the women who have difficulties with getting pregnant do eventually conceive with or without treatment.
 
wow!!! Mungu mkubwa jamani huyu dada alinihuzunisha that day anaeleza kisa chake nikajua alikata tamaa maskini....
Hongera zake nyingi sana Mola amkuzie, amiiin.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Watanzania wengi ni kama hawana akili, hata ukiwadanganya watajitokeza na kusema hongera, na kuna uwezekano mkubwa san akuwa huwa hawasomi kinacho andikwa kwenye makala husika ila baada ya kuona wenzao wanasifia na wao pia wanasifia.

Huyu mdada aliwahi sema kuwa hana uwezo wa kuzaa, na keshafanyiwa operations zaidi ya mara 3 kuhusiana na hilo tatizo.

Huyu atakuwa kapata mtoto kupitia surrogate mothers
Waja mna mambo jamani, millen mimba kaibeba mwenyewe na kuna video ipo siku anaenda kujifungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kufuatilia interviwe zake za nyuma.... Na nilicho kiona leo, inakuwa vingumu kuamini... Labla nione picha kama za Zari au Linah ndiyo nitaamini... Mungu katenda miujiza
Inawezekana awezi kupata kwa njia ya kawaida ndio alisema ivyo ila njia nyingne kama kupandikizwa mbegu na nk inawezekana
 
Nimejaribu kufuatilia interviwe zake za nyuma.... Na nilicho kiona leo, inakuwa vingumu kuamini... Labla nione picha kama za Zari au Linah ndiyo nitaamini... Mungu katenda miujiza
Inawezekana awezi kupata kwa njia ya kawaida ndio alisema ivyo ila njia nyingne kama kupandikizwa mbegu na nk inawezekana
 
He si alisema HAWEZI kuzaa isijekuwa ndio yule mtoto wa yule mama wawatu aliyeibiwa mapacha wake kesi ikazimwa wizarani,achunguzwe haraka huyo mtoto
vip mkuu ulitaka hyo mimba abebe kwenye tumbo lako? hvi ni vitu vya kawaida tu mungu mwenye ndio huamua kukuinua pale ulipodondoka watu wanakuja kuzaa uzeeni washanga huyu dada wa watu kuzaa, watanzania wakati mwingne tusikometi tunekane tunajua coment vitu vingne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kweli, nampongeza sana kwa kuweza kuishi kipindi cha ujauzito wake kwa usiri..binafsi sikuwahi kusikia au kuona picha za tumbo lake kama wengine wanavyofanya. Mungu awatunze yeye na mwanawe.
Anasema aliogopa kuweka wazi kwa kuwa last year alipata miscarriage..so hakuw Na uhakika kama angeweza kufikia hatua ya kujifungua..ndo maana akakaa kimya.

love thé love or hâte thé love.....
 
Hongera zake. Aliyempa ujauzito hawezi kuwa mwanaume wa Dar
 
Back
Top Bottom