Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,333
- 14,287
Kweli Mkuu, hapo yeye amuombee tu mumewe ili MUNGU amnusuru na kadhia ya Nyumba ndogo na pia awaepushie Maradhi.Hahahaaa wanaume wapi hao !
Hapo anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Siku akikumbuka kiuno kama cha wacheza shoo wa Twanga pepeta
Anamtxt tu baby am back...huyu fala nimeshamtuliza njoo tujilie mema ya nchi...
Nyumba ndogo hawanaga hiyana