ntantau
Member
- May 23, 2015
- 70
- 126
Habari zenu wakuu.
Nina mdogo wangu mwenye diploma ya medical laboratory.
Anataka kujiendeleza kimasomo(yaan kuchukua degree ya kwanza) lkn isiwe mambo ya afya.
Anachotaka yeye in vitu kama management,procurement,public heath na kadhalika.
Najua hapa kuna wadau mbalimbali wenye uelewa mkubwa wa haya mambo.
Naombeni ushauri wenu hapa.natanguliza shukrani zenu wakuu.
Nina mdogo wangu mwenye diploma ya medical laboratory.
Anataka kujiendeleza kimasomo(yaan kuchukua degree ya kwanza) lkn isiwe mambo ya afya.
Anachotaka yeye in vitu kama management,procurement,public heath na kadhalika.
Najua hapa kuna wadau mbalimbali wenye uelewa mkubwa wa haya mambo.
Naombeni ushauri wenu hapa.natanguliza shukrani zenu wakuu.