Kuna wabunge wa upinzani wamekuja na mtindo wa kujirecord wanapowakilisha hoja kisha ku share na umma(Group), alipoulizwa kuhusu hili na mwandishi wa BBC akadai, kuna mihimili mitatu na katiba hailazimishi bunge kurushwa live kama ilivyo hiyo mihimili mingine isivyo rushwa live katika shughuli...
Habari wandugu, nina pc yangu Del GX 620 ina tatizo la kuji restart na niki cheki error detai napata hiki
Problem signature:
Problem Event Name: BlueScreen
OS Version: 6.1.7600.2.0.0.256.1
Locale ID...
Nionavyo mimi wafuatao wanaqualify kwa the Hague Show
- Jakaya Mrisho Kikwete
- Said Mwema
-RPC's wa mikoa viliko tokea vifo
-Chagonja
-Tendwa
Ruksa kuongezes yawezekana nimewasahau baadhi
Wadau naomba kuuliza naamini wapo wanaojua zaidi humu jamvini, sasa hivi uki renew road licence unakuta element ya fire umelipa kwenye road licence je ina maana ukiwa umelipia gari lako insuarance
third part fire and theft au comprehensive insurance hazina maana tena????
adau nime format computer moja kati ya kadhaa zilizo kwenye network, cha ajabu baada ya hapo naweza kuingia web ya gmail na google tu mnaweza saidia hapa???
salaam wakuu, mi ninatumia modem ya Airtel nimekua niki experience connection problem hususan ku log in acc ya yahoo, nimekua niki ingia thru messenger lakini leo inagomakabis ina fika tu mahali inasomeka Waiting for us.mg5.mail.yahoo.com then hakunakinachoendelea. kuna mtu mwenye suluhisho...
DALLAS (AP) Former President George W. Bush will travel to Africa next month to raise awareness about cervical and breast cancer, an effort he calls a "natural extension" of a program launched during his presidency that helps fight AIDS on the continent.
Bush, former first lady Laura Bush and...
br znu wakuu, hiyo hapo juu ni sofware nzuri sana ya ku convert hata scanned doc to word, Exel, Publisher etc kwa anaeweza ku crack key yake afanye msaada. ni matumaini yang hapa hakishindikani ki2, hii hapa chini ni link yake
Download Able2Extract Professional with crack 6- Enjoy all the...
Habari zenu wadau, nahitaji sana print management software, sasa hivi natumia CZ PRINT MANAGEMENT lakini ni trial version ina expire baada ya siku 30 kuna mtu yeyote mwenye suluhusho????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.