mang'ang'a
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 828
- 379
adau nime format computer moja kati ya kadhaa zilizo kwenye network, cha ajabu baada ya hapo naweza kuingia web ya gmail na google tu mnaweza saidia hapa???
Kama alivyosema mdau inawezekana ISP wako au wewemwenyewe ulivyoset DNS kuna tatizo.adau nime format computer moja kati ya kadhaa zilizo kwenye network, cha ajabu baada ya hapo naweza kuingia web ya gmail na google tu mnaweza saidia hapa???