Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro kuna tatizo kubwa la dakitar bingwa wa masikio na koo ila sijui mnachukuwa jitihada gan maana kwa special clinic ya mwezi wa kumi hilo tatizo lilikuwa tatizo kubwa
Ushauri wangu kabla ya yote nakushauri uende na mnyama pale sua kitengo cha tafiti wamchunguze kwanza ndo nadhani utapata majibu ya uhakika huo uonjwa wa kuzunguka kwa mwaka 2019 ndo nadhan ugonjwa uliosumbua mbuzi sana hata kwangu nimepata hilo tatizo sana ila nikampeleka mnyama sua nilipata...
Ktk pitapita katika kutafuta furusa nimedhamiria kuingia katka hii bishara maana nishajiapanga kwa % kadhaa ushauri wenu unahitajika
kwa mambo ya muhimu na ya msingi
1.pausterizer
2.cooling tank
3.milk parking mashine (pouches)
4.milk cup filler
zote ziwe kati ya 400-1000 lt
Michango yenu yote...
Ok kwa ufaham wangu hz za kutengeneza manual sina uzoefu nazo mm nazijua zile za kununua taaa pamoja .net sensor zake .na alam labda sijui ulikuwa unahitaji ipi
Naongezea kidogo tu mi nishapita hyo njia sana na mall za kampala nazijua vizur sema tatizo ni tra but la kufanya we ongea na konda wa gar but magar ambayo yako vizur ni taqwa ya customer care nzur sana magar . mengine sipandi cox wengi wa watumishi wao hawana lugha nzur na hata tra wakianza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.