IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,469
- 2,337
Uyu wa TCRA tungepwa sis raia kwanza
Msianze mwacheni mama.apange safu yake si ni sie kila siku ndio tunaolalamika kuibiwa vifurushi na kua tcra wapo kimya?President vs non Christian????????
Ushaambiwa zege halilali...Pia lilikuwa jambo la busara kusubiri siku 21 zipite.
Hizi teuzi na tenguatengua zinaanza kutia shaka wananchi wengi.
Monong'ono imeanza mitaani kuulizia haya mavitu.
Ni nani alie nyuma za hizi pilikapilika?
Majibu yote yaja twangojea.
Zege halilali in mother voice.
Mtaani mama Rais samia anakubalika sana na wananchi. Wanaoleta maneno ni wale waliokuwa wananufaika na utawala uliopita.Pia lilikuwa jambo la busara kusubiri siku 21 zipite.
Hizi teuzi na tenguatengua zinaanza kutia shaka wananchi wengi.
Monong'ono imeanza mitaani kuulizia haya mavitu.
Ni nani alie nyuma za hizi pilikapilika?
Majibu yote yaja twangojea.
Huu nao ni udhaifu utadhani hii nchi hakuna watu/wasomi duuh!Hivi hakuna wengine? Mbona watu wanajirudia wale wale
Hadi kesho ifike atakua kashabebeshwa viragoHata yule waziri atenguliwe.
Mzee hata sioni volume buttonOngeza sauti
😂 😂 😂 😂 😂Kazi nzuri, kabla week haijaisha tunaomba mama utufurahishe zaidi kwa kumng’oa yule mpuuzi alieenda kutuhadaa katika kipindi cha clouds 360!
Apate anachostahili nae... Hawezi kubariki ule ujinga wa sie wananchi kuuziwa 1GB kwa hela ya kununulia mboga
Yani kwako unaona chupa ileile na mvinyo uleule!Uteuzi ndicho wanachojua kufanya
Bei ya vifurushi ndiyo ishapita hivyo
No ajira
No nyongeza ya mshahara
Hakuna kupandishwa madaraja
Kesho sijui atateuliwa nani tena... Kila siku teuzi teuzi teuzi wananikera sana. Hata. Mwendazake naye alikuwa hivyo hivyo
Teuzi teuzi
Umeona list ya makatibu wakuu?President vs non Christian????????