Nani Role model Wako?

Nawasalimu Wote!

Kuna Msemo " We are What
We are Because of Other people"

Ni Ukweli Kabisa Kwenye
Hekaheka Zetu Za Kila Siku
Tuna Fanya Mambo Mengi
Makubwa Kwa Kuiga Mfano
Toka Kwa Mtu Au Watu Fulani

Niwe Muwazi Kwa Hapa Bongo
Ninao Watu Wanaonifanya Niwe
Mtu Wa Tofauti Kwenye Nyanja
Mbalimbali Kwa Mfano Kwenye
Siasa Namkubali Sana Andrew
Chenge, Kwenye Sheria Lissu,
Kwenye Utajiri Nimrod Mkono.

1. Andrew Chenge - Amenifanya
Nidhamirie Kuwa Mwanasiasa
Wa Aina Yake. Sijui Nitampataje
Nionane Nae Uso kwa Uso.


2. Tundu Lissu - Amenifanya
Niipende Taaluma Ya Sheria
Ukiachalia Mbali Nilikuwa Mpenzi
Wa Sayansi Lakini Huyu Mtu
Amenifanya Nigundue Wito Wangu
Ni Kuwa Lawyer.

3. Nimrod Mkono -Mbali Na Utajiri
Wake Kutotangazwa Hovyo Naamini Hakuna Mtanzania Anaye
Mvaa Kifedha. Anyway, Nimevutiwa
Na Style Ya Utajiri Wake.

Ningependa Kujua Kutoka Kwenu
Watu Walio Saidia Kukubadilisha
Kimtazamo, Kifikra, Kitabia, Kimaendeleo nk....
Tundu Lissu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom