Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,269
- 5,669
stay longer mkuu,na baada ya kumchagua Magu,alisema watanzania ni wajinga wamekosa neema lukuki toka kwakeHa ha ha ha ha ha ha ha ha!
You Have Made My Day Mkuu.
stay longer mkuu,na baada ya kumchagua Magu,alisema watanzania ni wajinga wamekosa neema lukuki toka kwakeHa ha ha ha ha ha ha ha ha!
You Have Made My Day Mkuu.
Namjua Mmoja Tu Hapo.Brian tracy
Nick vujicick
Robin sharma
Anajua Kuteka Akili Za WatanzaniaERICK JAMES SHIGONGO
alisemaga tukimchagua ataleta mvua za kichina
Huyo "mpumbav*) mbna kama ni ww mkuu ? Coz hilo jina mpka ss ni ww tu ndo umelitajanajua kuna mpumbavu atakuja kumtaja MANGE KIMAMBI huku
Mbona Umeweka Kimagomvi!JPM ili niwanyooshe munaoleta fyoko fyoko
The teacherKrs One
everyone has a right to decide his own destiny
"to arm in arm, with arm in arm we'll fight this little struggle" Bob Marley (1976)And in this judgment there is, no partiality
R. I. P Bob Marley
Utamfahamu ukikua mkuuVizuri Mkuu!
Isipokuwa Huyo
Sergio Simfahamu.
Tundu LissuNawasalimu Wote!
Kuna Msemo " We are What
We are Because of Other people"
Ni Ukweli Kabisa Kwenye
Hekaheka Zetu Za Kila Siku
Tuna Fanya Mambo Mengi
Makubwa Kwa Kuiga Mfano
Toka Kwa Mtu Au Watu Fulani
Niwe Muwazi Kwa Hapa Bongo
Ninao Watu Wanaonifanya Niwe
Mtu Wa Tofauti Kwenye Nyanja
Mbalimbali Kwa Mfano Kwenye
Siasa Namkubali Sana Andrew
Chenge, Kwenye Sheria Lissu,
Kwenye Utajiri Nimrod Mkono.
1. Andrew Chenge - Amenifanya
Nidhamirie Kuwa Mwanasiasa
Wa Aina Yake. Sijui Nitampataje
Nionane Nae Uso kwa Uso.
2. Tundu Lissu - Amenifanya
Niipende Taaluma Ya Sheria
Ukiachalia Mbali Nilikuwa Mpenzi
Wa Sayansi Lakini Huyu Mtu
Amenifanya Nigundue Wito Wangu
Ni Kuwa Lawyer.
3. Nimrod Mkono -Mbali Na Utajiri
Wake Kutotangazwa Hovyo Naamini Hakuna Mtanzania Anaye
Mvaa Kifedha. Anyway, Nimevutiwa
Na Style Ya Utajiri Wake.
Ningependa Kujua Kutoka Kwenu
Watu Walio Saidia Kukubadilisha
Kimtazamo, Kifikra, Kitabia, Kimaendeleo nk....
Ni Nani Huyo Mkuu.Krs One
Safi Sana Mkuu!Baba yangu!
Kwangu hakuna mwanaume kama yeye na haitatokea akawepo!