Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
HONGERENI TANNESKO KWA KUANGAZIA MAISHA YA WA TANZANIA. Naomba mniunganishe zero tarrif D1, Nime washiwa umeme mwakajana mwezi wa kumi mwishoni. Niki nunua umeme wa elfu tisa au elfu kumi napata unit chache sana, nilipo fuatilia kwenye website ya tannesko nikaona maswali yanayo ulizwa marakwa mara nipamoja na hili la kiwango cha umeme,. Nipo mbali na mjini center ya tannesko. MITA NAMBA YANGU NI. 37212234498. SEDRICK THEOFRID NDUNGURU, SIMU.0676848323 mmiliki halali wa nyumba. Sina chochote ninacho zalisha kwa kutumia umeme, zaidi ya matumizi ya nyumbani.