Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 1,872
- 3,137
Vifurushi vyenu ni vya ovyo sijapata kuona, et mtandao wa kizalendo lakini vifurushi vyake vipo juu kuliko mitandao ya kigeni, mtapata tabu sana kuja kuinuka
Kama kuna kampuni ya simu mbovu basi ninyi ndio kilanja wao,najuta kusajili mtandao huu na suala la muda tu itakuwa kwenye pipa la takataka vipande vya sim card yenu.View attachment 1968463
Kwa wateja wetu wa nguvu.
Katika kusherehekea kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, kaulimbiu ya mwaka huu ni Nguvu Ya Huduma.
Napenda kuwapongeza watoa huduma wenzangu wote wa TTCL. Pia kuwashukuru wateja wetu kwa kutuamini, na kuendelea kutumia huduma zetu.
Tunawathamini sana na kuwaahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi.
Mteja wetu, wewe ndiye nguvu yetu.
-Wendlyne Mbagga,
Meneja Huduma kwa Wateja.
08 Oktoba 2021
Zipo titisieloHizo mb nyingi wanazotoa ziko wapi
Mbona haiba yako inakataana na unachokisema?View attachment 1968463
Kwa wateja wetu wa nguvu.
Katika kusherehekea kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, kaulimbiu ya mwaka huu ni Nguvu Ya Huduma.
Napenda kuwapongeza watoa huduma wenzangu wote wa TTCL. Pia kuwashukuru wateja wetu kwa kutuamini, na kuendelea kutumia huduma zetu.
Tunawathamini sana na kuwaahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi.
Mteja wetu, wewe ndiye nguvu yetu.
-Wendlyne Mbagga,
Meneja Huduma kwa Wateja.
08 Oktoba 2021
Hapana, haiwezekani.Je naweza kubadilisha salio la hewani kuwa T Pesa? Kama inawezekana naomba maelekezo.
Yani nyie mnatoa MB nyingi ila Internet mteja atajijua atakapo itafuta
Yani nyie mnatoa MB nyingi ila Internet mteja atajijua atakapo itafuta
Hongereni sana mnajitaidi sana, hata vifurushi vyenu vipo chini. Ongezeni bidii, muwe kinara namba 1 kwa kuwa mtandao bora zaidi Tanzania kuliko mitandao yote.View attachment 1968463
Kwa wateja wetu wa nguvu.
Katika kusherehekea kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, kaulimbiu ya mwaka huu ni Nguvu Ya Huduma.
Napenda kuwapongeza watoa huduma wenzangu wote wa TTCL. Pia kuwashukuru wateja wetu kwa kutuamini, na kuendelea kutumia huduma zetu.
Tunawathamini sana na kuwaahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi.
Mteja wetu, wewe ndiye nguvu yetu.
-Wendlyne Mbagga,
Meneja Huduma kwa Wateja.
08 Oktoba 2021
Wakishika #1 jwa huduma nafuu. Je, vipi kuhusu Vodacom, Halotel,Zantel, Tigo na Airtel si watakimbia nchi?Hongereni sana mnajitaidi sana, hata vifurushi vyenu vipo chini. Ongezeni bidii, muwe kinara namba 1 kwa kuwa mtandao bora zaidi Tanzania kuliko mitandao yote.
Mgema akisifiwa tembo hulitia maji, kwa sifa hizi, msivimbishe vichwa afu mkaaribu mambo.
TTCL mnaruka comment kinoma😅😅😅 watu wanalalamika hadi nadhani mnajuata kufunga page JFHapana, haiwezekani.
Kwenye picha huyo naniView attachment 1968463
Kwa wateja wetu wa nguvu.
Katika kusherehekea kuadhimisha wiki ya Huduma kwa Wateja, kaulimbiu ya mwaka huu ni Nguvu Ya Huduma.
Napenda kuwapongeza watoa huduma wenzangu wote wa TTCL. Pia kuwashukuru wateja wetu kwa kutuamini, na kuendelea kutumia huduma zetu.
Tunawathamini sana na kuwaahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi.
Mteja wetu, wewe ndiye nguvu yetu.
-Wendlyne Mbagga,
Meneja Huduma kwa Wateja.
08 Oktoba 2021
Akiwa na chura basi atakuwa full packageMdada mzuri, Nikiwa napiga customer care naomba awe ananipokea yeye, Tena Mpare origino, TTCL Pale Rombo Kilimanjaro mtandao hausomi kabisa, ni changamoto, Yaani ukifika Mashati laini ni TTCL lakini inasoma Safaricom Kenya, Tuleteeni Mitambo huku Tunateseka sana
Unataka ukope kisha uvunje laini?Nashauri TTCL mlete huduma kama ya SONGESHA