Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,156
- 13,427
Ndo njia yangu kila siku napitaga
Ndo njia yangu kila siku napitaga
huyo jamaa hata dar Huenda hajawahi fika
Kama ni kwa Ungo mbona wengi tu mnapita! tunachozungumza lile bango la kufunga barabara waliondoeNdo njia yangu kila siku napitaga
Acha wenge jombaa ukifanikiwa kupita pale wewe kidume au hujui tunazungumzia barabara gani.Ndo njia yangu kila siku napitaga
Hajui huyu labda anasemea chamwinohuyo jamaa hata dar Huenda hajawahi fika
Usibishe Dada angu napita hapo kila siku asubuh na jionAcha wenge jombaa ukifanikiwa kupita pale wewe kidume au hujui tunazungumzia barabara gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi waha mbona wabishi hivi njoo kesho tukapite wote bc.Usibishe Dada angu napita hapo kila siku asubuh na jion
hahahahah
Ujue Mbwa anaebweka Sana huwa ni muoga Sana!Hivi mbona utawala huu vitu vingi ni tofauti?? kuanzia kanisani mpaka barabarani?
Kwann jiwe ni muoga sana ?Kumbe Jiwe alifunga hiyo barabara...sikulijua hilo
Utawala wa shetani lazima uwe tofaut na wa binadamuHivi mbona utawala huu vitu vingi ni tofauti?? kuanzia kanisani mpaka barabarani?
kwani binadam hawezi kuwa shetan?Utawala wa shetani lazima uwe tofaut na wa binadamu
na wakitufungulia usilete kitambi chako pale
Chonde chondeHAKA KA NJIA kangetusaidia wakati huu wa mvua na mifoleni ya mjini wakubwa tunawaomba kafungueni japo hadi saa 12
Muogope Mungu wako au kama huamini katika Mungu, basi iogope mizimu yako.Ikulu imehamia chato, hiyo ya Dodoma hajawahi kukaa hata mwezi mmoja mfululizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu wanatusihi tuwaoombee, wakati siye mambo madogo kama haya hawatufungulii, lakini wao wanataka wafunguliwe ya mbinguni!Viongozi wa kibongo wanajiona kama vile wanamaadui wengi kumbe ujinga wao tu, marekani yenye maadui dunia nzima ila wananchi wanaweza kuingia hadi ndani ya compound ya white house