Habari great thinkers,
Naomba ushauri na maoni yenu kuhusu kujenga nyumba.Kipi ni bora na nafuu iwapo utatumia mkandarasi au fundi wako wa mtaa?
Maoni yenu yatatusaidia wote.
Nina simu ya samsung B-5722, nahitaji kuplay you tube video lakini nimetafuta software iliyo compartible ambayo inarun kwenye java i.e "***.jar". Please, anayejua hiyo software naomba anisaidie jamani.
Wadau mtanisamehe kwa kuwa nimeshindwa kurusha picha zote katika post 1.
Hizi ni picha zaidi.....endelea kuburudika...
Ndg.Mkinga akiondoka eneo la mkutano huku akitaniana na wananci kwamba yeye hakupata gari nzuri kwa ufisadi bali juhudi zake mwenyewe
Wawakilishi wa CHASO wakisoma...
Kongamamo lililoandaliwa na CHASO lililofanyika jumamosi 22/01/2011 lilifana na hizi ni baadhi ya picha nilizofanikiwa kupiga.
Enjoy yourself.
Wadau wakiwa viwanja vya shule ya Msingi Makuburi kabla ya Kongamamo kuanza.
Ndg.Vincent Kimaro nakifungua kongamano
Peoplesssss...
waziri wa ujenzi dr.pombe magufuli amepiga marufuku uwekaji wa matuta katika barabara kuu.amesema kwamba katika sheria ameapa kuzitumia hajaona mahali palipoandikwa kwamba wakandarasi waweke matuta kila baada ya umbali fulani.Ameyasema hayo alipokuwa akiongea na wahandisi wa viwanja vya ndege na...
Taarifa kutoka Mbeya ni kwamba wananchi wameamua kuandamana kushinikiza kutolewa kwa matokeo ya jimbo la Mbeya vijijini. Wananchi wamekabiliana na askari katika eneo la Mbalizi, pia katika jengo la mkuu wa wilaya ya mbeya ambapo ndipo matokeo yanatarajiwa kutangazwa.
Wananchi wanadai kwamba...
mabomu ya machozi,maji ya kuwasha,askari watawala katika mitaa ya mji wa vwawa jimbo la mbozi magharibi.watu hawaonekani mitaani na maduka yamefungwa,askari wanalipua mabomu mtaa kwa mtaa kwa wanachodai kuwatawanyisha wafuasi wa chadema wanaodai kutangazwa matokeo baada ya kuyasubiri muda mrefu...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo mpaka sasa kimeshapata madiwani 9 kati ya 14. Viti 5 bado havijatangazwa lakini inategemewa kuchukua vingi zaidi kati ya hivyo vitano.
Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni
Kituo A
chadema 140,
ccm 33,
Kituo B
chadema 115,
ccm 15.
Nita-update mara nipatapo matokeo mengine.
Pia, vijana wamejitokeza kulinda kura vituoni kuhakikisha hakuna kinachoingia au kutoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.