nina wasiwasi na desmondi tutu about his sexual identity hadi anaunda chama cha mashoga sijui anataka kutwambia nn! Afrika as AU should say somthing, coz she is boss of the world, i mean a cinderella. Wamagharibi potelea mbali sisi tupo na wasovieti na wachina. Hqhqh
alafu hiyo sio misaada, hela na mali wanazobeba africa ni mara kumi ya hiyo misaada! So lets ignore them, hata ikija hiyo misaada wanaita inamsaidia nani kama sio vinara wao tu!
alafu kwann pedofilia na homosexuality cases nyingi zipo ulaya kuliko africa. Waache kuuniversalize vitu bana, kama wanamachungu ya damu wawachukue hao watu..
napata maswali zaidi....hwa wa magharibi kesho watataka tuoane na mbwa..ina maana sisi hatuna namna ya kuona kip kizuri au kibaya lazima tuwafuate wao? Haya ndio madhara ya kuacha ujamaa na kujitegemea. Alafu mbona wanamachungu zaid kuliko wahusika wenyewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.