4.Ni siku gani ndege ya Malasyia itapatikana
5. Ni lini UKAWA watarudi tena mjengoni
haya yanamajibu
4.Ni siku gani ndege ya Malasyia itapatikana
5. Ni lini UKAWA watarudi tena mjengoni
Unataka ujibiwe na nani?
Na yeyote, ukiweza jbu ctaki swaga!
Nani alikuambia hii?
Nimejiambia mwenyew!!
Mwanzo ni nini?
Ndo utafte jibu
Unajua maana ya ndoto?
Ndiyo!
Yaani unataja kifo halafu unatamka "maisha" ya kaburini
Ndiyo aisee!!
Nani alikuambia kaburini kuna maisha?
Unajua maana ya kifo?
Unajua maana ya maisha?
Unakurupuka kuhoji hujaelewa maswali au unataka mlengo wako ndo ufurahie?!!
Unauliza kuhusu Mungu yupi?
Be specific kijana hakuna majibu ya jumla jumla hapa!
Kwa nini Mungu anakubali watu wateseke na kuhangaika duniani? While he can simply make a new heaven without any complication...
And ye ametokea wapi?
Mkuu huo mfano wako wa kufuata kanuni ili kutaka kujua kuendesha gari nafikiri ni tofauti kidogo.
Gari linaonekana, linajulikana limetoka wapi n.k,
Hebu fikiria mtu anakuja anakwambia nataka nikufundishe kuendesha gari, lakini hilo gari hulioni , hujui lometoka wapi n.k lazima utahoji kwanza uwepo wa hilo gari kabla ya kutaka kujifunza zaidi kuhusu hilo gari.
Ndio maana hata darasani tukiwa tunasoma mada mpya, baada ya utangulizi huwa tunapewa historia japo fupi kuhusu mada husika kabla ya kuingia ndani zaidi katika hiyo mada.
Mhhhh! Umesoma andiko la wapi hili?Hahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol
Mama na baba ako walikutana lini wakaanza mapenzi yao
Mhhhh! Umesoma andiko la wapi hili?
Mungu hakuumba sheteni,hajashindwa kumcontrol kiumbe yeyote.
Shetani maana yake ni uongo/ubaya. Hao ni malaika ambao walishindwa kuyazidi majaribu na kumchukiza Mungu na ndipo akawapatia mahali pa kukaa wakisubiri adhabu yao. Hawakuumbwa katika hali hiyo.
Na wao kwa kuona wamesha adhibiwa basi wanazidisha maharibifu na kudanganya watu wengi ili kupata wafuasi.
unamlinganisha aliyekuumba na gari ulilotengeneza kwa mifano .. hivi unajutambua we ni nini?
Huo mfano alitoa mdau pale juu kama umefuatilia post kuanzia mwanzo.
Kuhusu Mungu kuniumba siwezi kukubali au kukataa.
Wewe unaesema mungu ameniumba na mimi naweza kusema niliumbwa na jiwe, wote hatuna uthibitisho.
Hebu nithibitishie kwamba mimi niliumbwa na mungu na sio kitu/mtu mwingine.
Sasa mkuu, yeye Mungu ndo muweza wa yote, aliemkamilifu. Ilikuwaje awaumbe hao malaika halafu mwisho wa siku wamsaliti?
je binadamu anasomeka au kueleweka katika uhalisia na ujumla wake?
mpaka umfahamu kwanza,lasivyo ntapoteza mda
wanyama wanatufikiria kama sisi ni rational?
Ulijifunza na ukajua Mungu ni kitu gani?
Ulijifunza kuhusiana na Mungu yupi?
Wewe unfahamu vipi huyo Mungu?
Mim mungu ninfahamu kwa kusikia habari zake na kusoma kwenye maandiko, lakini pamoja na yote sikuwahi hata siku moja kuthibitisha au kuthibitishiwa kama yupo