Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,432
- 6,639
Najaribu kuvuta picha, nini kingetokea kama ndege iliyopotea ingekuwa ni ya Tanzania, kuna baadhi ya matukio yangetokea kama vile: 1. Serikali ingetoa mapumziko nchi nzima 2. Zingeundwa tume kama 700 hivi kutafuta chanzo cha kupotea kwa ndege, na tume nyingine 900 kutafuta ndege ilipo. Endelea na wewe kutuambia unahisi nini kingejiri hapa Bongo...