Wadau,mtoto wangu ana miezi 6 kasoro hvi,week iliyopta tulienda kumpima kliniki,ana kilo 9.5....nesi akasema uzito huo ni mkubwa sana ulilinganisha na umri wake.
naomba mniambie inasababishwa na nin? Nin athar zake? Na nifanyaje kuondkana na tatizo hilo?
chakula ananyonya maziwa ya mama tu
Wadau naomba msaada,nafanyaje niweze kuona full screen tbc1 kwenye kisimbusi cha azam tv? Natanguliza shukrani....unaweza kuni pm au whatsap 0753 380 229
Baada ya mkutano mkuu wa CCM,wakaagizwa na mwenyekiti wao kuwa pamoja na mambo mengine kuwa mawaziri waweke utaratibu wa kuwaambia wananchi yale 'mazuri' waliyo fanya. Hapa nikakumbuka usemei usemao " matendo huongea vizuri kuliko maneno". Inawezwekama mimi ndio mpofu katika hili,Kwa maoni yangu...
...Binafsi na kwa dhati ya moyo nakiri kuwa hali ya CCM sasa ni mbaya,imezeeka,imekuwa kichaka cha wahuni,wala rushwa,wahujumu uchumi,mafisadi wa mali za umma,mradi wa kuendelea kimaisha...imekuwa simba mzee aliyeng'ooka meno hawezi kuwinda tena. pamoja na yote haya lakn tukumbuke...
Waziri mwenye dhamana ya serikali za mitaa na tawala za mikoa,kapten George mukuchka amewataka walimu walio chukua fedha za kujikimu na mishahara na kisha kukimbia nayo walirudishe kabla ya hatua kali kuchukuliwa. Hii ni mara ya kwaza walimu kudaiwa na serikali badala ya serikali kudaiwa na walimu
Kilichotokea dodoma binafsi nilifahamu kitakuwa hivyo. Ndiyo! nilijua kuwa mwenyekiti kivuli wa ccm(kikwete) hana ubavu wa kuvua chama gamba ingawa sikutaka kujua ni gamba lipi linavuliwa kwa kuwa ccm ninayo ijua mimi ina magamba yasiyokuwa kuwa na idadi.Naomba nieleweke,sisemi kama mtu...
Nikiwa mwaka wa kwanza chuo kikuu,niliandika makala yenye kichwa hiki,nilipowaonyesha baadhi ya rafiki zangu,walinitisha,wakanidharau,wakaniona mwehu,wakaona mtu ninayetaka kuhatarisha maisha yangu ya shule,nikatishika,nikaachana na huo mpango.sijui kwa nini?,labda kwa vile nilikuwa 'form one'...
Kama vitu kwa mtazamo wangu havihitajiki katika nchi hii ya tanzania ni kuwa na mfumo wa serikali kupatikana kwa njia ya demokrasia.Najua nitapingana na wengi labda wakidhani kama hakuna demokrasia basi mbadala wake ni udikteta! zipo aina nyingi sana za serikali,labda tu kwa kuwa kumbusha kuna...
Awali ya yote niwashukuru sana walioamua kuanzusha chommbo kama hiki! mimi ni mwanafunzi wa mwaka pili UDSM.Ndoto zangu siku zotte za maisha yangu ni kuwa mwigzaji au mtangaji wa redio au TV.
Kutokana na sababu mbalimbali peke yangu imekuwa ngumukutimiza ndoto zangu OMBI naomba sasa kama kuna...
Habari za siku nyingi ndugu zangu maana ni siku nyingui sana tangu nimeshiriki katika uwanja huu ambao matu na ama wasomi kwa ujmla huwa tunasoma au ktoa hoja zetu.Binafsi nilishindwa kutokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wangu kabisa.Kwanza HERI YA MWAKA MPYA! nimatumaini yangu kuw...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.