acha mambo yako ya kidini, vibaghashia shuleni vya nini wewe, yaani badala ya kusema chakula kiwe cha bure shuleni unaleta mambo yako ya balaghashia, KWELI AFYA YA AKILI NI DHAHIRI.
Rais Samia Suluhu Hassan, alipoingia madarakani kwenye hotuba yake ya kwanza, kwenye maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi(MEI MOSI), aliahidi kwamba atahakikisha mshahara tu ndiyo utakaokatwa KODI, ili kumpunguzia mfanyakazi makali ya maisha, lakini naona hili bado halijafanyiwa kazi, kwani...
Kufa ni lazima kwa mwanadamu, kila nafsi itaonja mauti, halafu kuwa mtumishi wa Mungu hakukufanyi kwamba usipatwe na majaribu, mimi simtetei lakini asipewe nafasi ya kuchukua utukufu wa Mungu kwa either miujiza n.k, biblia ipo wazi kabisa Yesu aliwaambia wanafunzi wake mtu hataishi kwa mkate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.